Nimekuwa addicted na wake za watu

Nimekuwa addicted na wake za watu

Babu hujasikia issue ya chuga??ohoo ucje mwagiwa petrol kwenye godoro ukateketea unajiona...

Acha bhana.
 
Ngoja yaje yakukute yale ya Arusha, muungue wawili na godoro lakini nyumba isiungue ndo utaacha.
 
mkuu ponda raha maana kufa kwaja..nawe ukifumaniwa kuwa radhi kuubeba mzigo wako..utatiwa chuma cha moto kuleeee..
 
naona malinda yako yanakuwasha sana au umeyachoka ?
 
Wakuu habari

Leo natumia platform hii ndogo kukiri kuwa nimekuwa addicted na wake za watu, yaani nikimuona mke wa mtu maeneo ambayo ya kula bata au anywhere ambapo nitaweza kuinteract nae basi hadi moyo unafanya paah, jamani hii tabia kweli sio nzuri kutembea na wake za watu nataka niache maana kuna hadi mmoja alinimbia nimpe mimba halafu yeye atajua jinsi ya kumpanga mumewe.... yaani nataka nijaribu kutulia na huyu mchaga lakin wake za watu nimekuwa na bahati nao sana kushiriki kimapenzi kuliko hata wasio wake za watu. mbaya zaidi wengi wao wana watoto, nishaitwa sana baba au uncle na watoto wasio wangu.



ushauri jins ya kuepuka kuendelea na situation hii



Kuwa makini mkuu, bila hivyo shoka itakuhusu au kushikishwa ukuta na vilainishi vyenyewe hakuna ni shida mkuu.
 
Pole sana Mkuu, Naona kifo kinakusogelea kwa kasi sana. Waliosema Mke wa mtu sumu hawakukosea
 
Da balaa la kula mke wa mtu ni ivi kwanza unakuwa hauko huru na sim zisizo na majina yaani ikiingia no mpya unastuka, Kwanini nipate tabu wakati majimbo huru yapo yakumwaga
 
acha uzinz man oa wako ? hebu fikiria una mke wako halaf jamaaa linamchukua mkeo utajisikiaje! take care sana
 
Back
Top Bottom