Utapeli wa kishamba wa kizamani sana huo potezeanimekuta hii message kuwa eti nimeshinda euro laki nane jee ni kweli au ni utapeli?
nimeiona muda huu nikaipotezea tu
kuna ukweli???
Huu utapeli upoje mkuu hebu nipe elimu aiseeeUtapeli wa kishamba wa kizamani sana huo potezea
Nenda Google usearch andika neno 419 Scam utajisomea mwenyewe kwa wakati wako.utapata notisi nyingi za kujisomea mwenyeweHuu utapeli upoje mkuu hebu nipe elimu aiseee
Nenda Google usearch andika neno 419 Scam utajisomea mwenyewe kwa wakati wako.utapata notisi nyingi za kujisomea mwenyewe
Hiyo sms hata mimi wamenitumia wiki iliyopita nikaipuuzia, leo wamenitumia tena kwa namba ile ile, nikawapigia ila haikupokelewa, nikawapigia mara ya pili ikasema namba ya tigo unayopiga sio sahihi na wakati namba yenyewe ni halotel, namba yenyewe ni 0620676309.nimekuta hii message kuwa eti nimeshinda euro laki nane jee ni kweli au ni utapeli?
nimeiona muda huu nikaipotezea tu
kuna ukweli???
Wizi mtupu nenda hata polisi au TCRA au kampuni yenye huo mtandao waambie kuna hilo tapeli linawaharibia biashara linataka kukutapeliView attachment 628086
Niliwahi kutumiwa hiyo message na namba ya huyo tapeli hapo juu, je anakua anaijuaje namba yangu hadi anitumie message?
na mm wamenitumia hii sms..ukiwapigia hawapokeiHiyo sms hata mimi wamenitumia wiki iliyopita nikaipuuzia, leo wamenitumia tena kwa namba ile ile, nikawapigia ila haikupokelewa, nikawapigia mara ya pili ikasema namba ya tigo unayopiga sio sahihi na wakati namba yenyewe ni halotel, namba yenyewe ni 0620676309.
Kama huu ni utapeli mitandao ya simu itakuwa wanafaham namna unavyofanywa na hao matapeli, maana wanachoitaji wao ni taarifa zako kama jina lako kamili, umri na namba yako
View attachment 628086
Niliwahi kutumiwa hiyo message na namba ya huyo tapeli hapo juu, je anakua anaijuaje namba yangu hadi anitumie message?
Ili uweze kushinda lazima ushindane, je wewe umeshiriki kwenye hilo shindano!?nimekuta hii message kuwa eti nimeshinda euro laki nane jee ni kweli au ni utapeli?
nimeiona muda huu nikaipotezea tu
kuna ukweli???