Nimeona kwenye kalenda kuwa kuna mapumziko ya Maulid je ni kweli?
Hii nayo inategemea mwandamo wa mwezi? Au tangazo la Bakwata?
Nimepita kwenye kurasa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii sioni hata viashiria kwamba kuna sikukuu.
Mwenye kujua atusaidie ili tujue tunaamkia kazini ama kwenye mishe zetu
Hii nayo inategemea mwandamo wa mwezi? Au tangazo la Bakwata?
Nimepita kwenye kurasa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii sioni hata viashiria kwamba kuna sikukuu.
Mwenye kujua atusaidie ili tujue tunaamkia kazini ama kwenye mishe zetu