Nimekutana na 'first boyfriend' anataka turudiane

Nimekutana na 'first boyfriend' anataka turudiane

dagaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
290
Reaction score
382
Habari wapendwa wangu,

Mimi nipo hapa sihitaji ushauri ila nataka niwasimulie kidogo lililonitokee, sababu sijamwambia mtu imenibidi niwadokezee.

Mimi ni mama wa watoto 2 na nimeolewa na ndoa ya kanisani, nina kazi yangu nzuri mshahara ni mzuri, maisha yangu ni mazuri tuna nyumba 2 na mume wangu na kila mtu ana gari yake, ila hapa kisa kilichonikuta ni kama ifuatavyo.


Baada ya Zaidi ya miaka kumi na 4 nimekutana na my first boyfriend, mi nashukuru nyumbani tulikua mambo safi, huyu boyfriend wangu tulikua tunasoma wote S.Africa, mi nilikuja nikaama nikaenda kusoma Canada nikamwacha hapo ila tukawa tunawasiliana kwa ukaribu sana, mwisho wa siku tukapotezana, ila kiukweli nilikua nampenda na nina iman nae alikua ananipenda.

Sasa bwana mwezi uliopita nilikua nina meeting na kampuni moja nikakutana na rafiki yake, du tulifurahi sana, tukapiga story mbili tatu, akaniambia unajua F (jina la boyfriend wangu niliyepotezana nae) alikua anakutafuta sana, tukabadilishana namba, mi sikutaka kumwomba ata namba ya F sababu najua sasa nina familia yangu na nina Imani nae atakua na familia yake.

Mara nafika ofisini mida ya jioni naona namba ngeni inaita, kupokea mara ni mimi mume wako F, nikacheka na tabasamu la furaha. Akaniuliza uko wapi nikamwelekeza ofisi yangu, yeye anaishi Arusha ndo anakofanya kazi, nikamwambia ok , cha kwanza aliniuliza ushaolewa nikamwambia ndio na nina watoto 2, nikamwomba nitampigia baadae sababu nilikua biz kidogo, saa kumi na moja natoka ofisini akanipigia nikaongea nae kwenye gari mpaka nafika nyumbani, tukapiga story nyingi.

Ila siku zinavyozidi kwenda ndo anazidi kutaka kuwa karibu na mimi, mara nikapata parcel ya DHL ina zawadi iliyoambatanishwa na picha ipo katika frame tuliopiga mi na yeye enzi tupo S. Africa kwakweli nilikumbuka mbali, nilipiga simu na kumwambia asante na nimeiweka ofsini kwangu. Ila nami nampenda na alinitamkia nimekupata tena sitegemei kukupoteza tena.

Juzi nimemtumia SMS ndefu nikamweleza ukweli mimi siwezi kuendelea nae sababu mimi nina familia yangu nae ana familia yake, sasa kila mtu achukue time yake, kwakweli kanitumia SMS nyingi sana kaniomba nisifanye ivyo, nimeamua ni mblock kila mahala ila cha kushangaza kanunua laini nyingi kwa ajili yangu nayo nimeblock, anatumia line nyingine, kwa sababu kila navyoendelea kuchati nae namimi nazidi kumpenda.

Ili kuepusha imebidi nifanye hivyo. Sasa jana nimeamka nimewaza mengi sana juu yake na nina mpenda na nikiangalia upande wa mume wangu nae kanitenda sana ila mi sitaki kufanya hivyo sababu wakati wa kufunga ndoa niliungama pale mbele nikasema huyu ndo awe mume wangu mpaka kufa, kwakweli in short alikua chagua langu na nilikua nampenda ila wanavyosema ndoa upangwa na Mungu ndo maana tulipoteana.
 
Habari wapendwa wangu.

Mimi nipo hapa sihitaji ushauri ila nataka niwasimulie kidogo lililonitokee, sababu sijamwambia mtu imenibidi niwadokezee. Mimi ni mama wa watoto 2 na nimeolewa na ndoa ya kanisani, nina kazi yangu nzuri mshahara ni mzuri, maisha yangu ni mazuri tuna nyumba 2 na mume wangu na kila mtu ana gari yake, ila hapa kisa kilichonikuta ni kama ifuatavyo.


Baada ya Zaidi ya miaka kumi na 4 nimekutana na my first boyfriend, mi nashukuru nyumbani tulikua mambo safi, huyu boyfriend wangu tulikua tunasoma wote s.africa, mi nilikuja nikaama nikaenda kusoma Canada nikamwacha hapo ila tukawa tunawasiliana kwa ukaribu sana, mwisho wa siku tukapotezana, ila kiukweli nilikua nampenda na nina iman nae alikua ananipenda.


Sasa bwana mwezi uliopita nilikua nina meeting na kampuni moja nikakutana na rafiki yake, du tulifurahi sana, tukapiga story mbili tatu, akaniambia unajua F (jina la boyfriend wangu niliyepotezana nae) alikua anakutafuta sana, tukabadilishana namba, mi sikutaka kumwomba ata namba ya F sababu najua sasa nina familia yangu na nina Imani nae atakua na familia yake.

Mara nafika ofisin mida ya jioni naona namba ngeni inaita, kupokea mara ni mimi mume wako F, nikacheka na tabasamu la furaha. Akaniuliza uko wapi nikamwelekeza ofc yangu, yeye anaishi Arusha ndo anakofanya kazi, nikamwambia ok , cha kwanza aliniuliza ushaolewa nikamwambia ndio na nina watoto 2, nikamwomba nitampigia baadae sababu nilikua biz kidogo, saa kumi na moja natoka oficn akanipigia nikaongea nae kwenye gari mpaka nafika nyumbani, tukapiga story nyingi.

Ila siku zinavyozid kwenda ndo anazzidi kutaka kuwa karibu na mimi, mara nikapata parcel ya dhl ina zawadi iliyoambatanishwa na picha ipo katika frame tuliopiga mi na yeye enzi tupo s.africa kwakweli nilikumbuka mbali, nilipiga simu na kumwambia asante na nimeiweka ofcn kwangu. Ila nami nampenda na alinitamkia nimekupata tena sitegemei kukupoteza tena.

Juzi nimemtumia msg ndefu nikamweleza ukweli mimi siwezi kuendelea nae sababu mi nin familia yangu nae ana familia yake sasa kila mtu achukue time yake, kwakweli kanitumia msg nyingi sana kaniomba nisifanye ivyo, nimeamua ni mblock kila mahala ila cha kushangaza kanunua laini nyingi kwa ajili yangu nayo nimeblock, anatumia line nyingine, kwa sababu kila navyoendelea kuchati nae name nazidi kumpenda ili kuepusha imebid nifanye ivyo. Sasa jana nimeka nimewaza mengi sana juu yake na nina mpenda na nikiangalia upande wa mume wangu nae kanitenda sana ila mi sitaki kufanya ivyo sababu wakati wa kufunga ndoa niliungama pale mbele nikasema huyu ndo awe mume wangu mpaka kufa… kwakweli in short alikua chagua langu na nilikua nampenda ila wanavyosema ndoa upangwa na Mungu ndo maana tulipoteana.
Dada yangu sumu haionjwi, achana na huyo jamaa. Swala la kutendwa, hata yeye angekutenda tu kama angekuowa. NARUDIA TENA, ''SUMU HAIONJWI DADA YANGU'' wala mtoto hatumwi dukani.
 
Yani mtu akitaka justify anachoenda kukifanya lazima aonyeshe mwenzake ana kasoro.
Pale umesema kuwa mumeo kakutenda sana hapo unajaribu justify unachoenda kufanya.
Pia kuna kitu kimoja hukusema hapa kuna thread kule ume comment kuwa ulipokutana na F ulimkiss japo umeolewa lakini ulishindwa kujizuia kwakuwa lips zake tamu.
Next time mtafanyana
 
Habari wapendwa wangu.

Mimi nipo hapa sihitaji ushauri ila nataka niwasimulie kidogo lililonitokee, sababu sijamwambia mtu imenibidi niwadokezee. Mimi ni mama wa watoto 2 na nimeolewa na ndoa ya kanisani, nina kazi yangu nzuri mshahara ni mzuri, maisha yangu ni mazuri tuna nyumba 2 na mume wangu na kila mtu ana gari yake, ila hapa kisa kilichonikuta ni kama ifuatavyo.


Baada ya Zaidi ya miaka kumi na 4 nimekutana na my first boyfriend, mi nashukuru nyumbani tulikua mambo safi, huyu boyfriend wangu tulikua tunasoma wote s.africa, mi nilikuja nikaama nikaenda kusoma Canada nikamwacha hapo ila tukawa tunawasiliana kwa ukaribu sana, mwisho wa siku tukapotezana, ila kiukweli nilikua nampenda na nina iman nae alikua ananipenda.


Sasa bwana mwezi uliopita nilikua nina meeting na kampuni moja nikakutana na rafiki yake, du tulifurahi sana, tukapiga story mbili tatu, akaniambia unajua F (jina la boyfriend wangu niliyepotezana nae) alikua anakutafuta sana, tukabadilishana namba, mi sikutaka kumwomba ata namba ya F sababu najua sasa nina familia yangu na nina Imani nae atakua na familia yake.

Mara nafika ofisin mida ya jioni naona namba ngeni inaita, kupokea mara ni mimi mume wako F, nikacheka na tabasamu la furaha. Akaniuliza uko wapi nikamwelekeza ofc yangu, yeye anaishi Arusha ndo anakofanya kazi, nikamwambia ok , cha kwanza aliniuliza ushaolewa nikamwambia ndio na nina watoto 2, nikamwomba nitampigia baadae sababu nilikua biz kidogo, saa kumi na moja natoka oficn akanipigia nikaongea nae kwenye gari mpaka nafika nyumbani, tukapiga story nyingi.

Ila siku zinavyozid kwenda ndo anazzidi kutaka kuwa karibu na mimi, mara nikapata parcel ya dhl ina zawadi iliyoambatanishwa na picha ipo katika frame tuliopiga mi na yeye enzi tupo s.africa kwakweli nilikumbuka mbali, nilipiga simu na kumwambia asante na nimeiweka ofcn kwangu. Ila nami nampenda na alinitamkia nimekupata tena sitegemei kukupoteza tena.

Juzi nimemtumia msg ndefu nikamweleza ukweli mimi siwezi kuendelea nae sababu mi nin familia yangu nae ana familia yake sasa kila mtu achukue time yake, kwakweli kanitumia msg nyingi sana kaniomba nisifanye ivyo, nimeamua ni mblock kila mahala ila cha kushangaza kanunua laini nyingi kwa ajili yangu nayo nimeblock, anatumia line nyingine, kwa sababu kila navyoendelea kuchati nae name nazidi kumpenda ili kuepusha imebid nifanye ivyo. Sasa jana nimeka nimewaza mengi sana juu yake na nina mpenda na nikiangalia upande wa mume wangu nae kanitenda sana ila mi sitaki kufanya ivyo sababu wakati wa kufunga ndoa niliungama pale mbele nikasema huyu ndo awe mume wangu mpaka kufa… kwakweli in short alikua chagua langu na nilikua nampenda ila wanavyosema ndoa upangwa na Mungu ndo maana tulipoteana.
Mama watoto wawili simama kwenye ndoa yako,ukiona mambo yanakwenda vizuri ni baraka toka kwenye ndoa, sasa wewe jichanganye na huyo mtu utashangaa unafunga kampuni maana wengine wanamikosi balaa wewe simama kwenye ndoa yako coz chapter yake ulishaifunga tayari pale altaleni mbele ya mashahidi kibao, tena usimuendekeze kabisa mtu anayejua una mji wako naye anataka kujiweka, kama bwana yako anakusumbua jitaidi kumuomba Mungu akusaidie kumwambia akusikie lasivyo utawaacha watoto wakiwa hao,watatoka kupanda gari la mama yao saa ya kwenda shule wakapanda daladala na mwisho wa siku wakabakia kuwa makahaba kutokana na ugumu wa maisha,chunga ndoa yako kama ulichungavyo jicho lako.
 
Umepotezana na mtu miaka 14 na unawaza kuludi kwake wkt uko na familia yako. Muombe mungu uyashinde hayo majalibu na mm nakuombea maana uchungu wa ndoa hauna mfano wake. Ulikosea kumpa namba huyo rafiki yake ushauri wangu fanya ubadili namba yako ili asikusumbue na hy picha uitupe maana ndio ibilisi amekaa humo
 
Habari wapendwa wangu.

Mimi nipo hapa sihitaji ushauri ila nataka niwasimulie kidogo lililonitokee, sababu sijamwambia mtu imenibidi niwadokezee. Mimi ni mama wa watoto 2 na nimeolewa na ndoa ya kanisani, nina kazi yangu nzuri mshahara ni mzuri, maisha yangu ni mazuri tuna nyumba 2 na mume wangu na kila mtu ana gari yake, ila hapa kisa kilichonikuta ni kama ifuatavyo.


Baada ya Zaidi ya miaka kumi na 4 nimekutana na my first boyfriend, mi nashukuru nyumbani tulikua mambo safi, huyu boyfriend wangu tulikua tunasoma wote s.africa, mi nilikuja nikaama nikaenda kusoma Canada nikamwacha hapo ila tukawa tunawasiliana kwa ukaribu sana, mwisho wa siku tukapotezana, ila kiukweli nilikua nampenda na nina iman nae alikua ananipenda.


Sasa bwana mwezi uliopita nilikua nina meeting na kampuni moja nikakutana na rafiki yake, du tulifurahi sana, tukapiga story mbili tatu, akaniambia unajua F (jina la boyfriend wangu niliyepotezana nae) alikua anakutafuta sana, tukabadilishana namba, mi sikutaka kumwomba ata namba ya F sababu najua sasa nina familia yangu na nina Imani nae atakua na familia yake.

Mara nafika ofisin mida ya jioni naona namba ngeni inaita, kupokea mara ni mimi mume wako F, nikacheka na tabasamu la furaha. Akaniuliza uko wapi nikamwelekeza ofc yangu, yeye anaishi Arusha ndo anakofanya kazi, nikamwambia ok , cha kwanza aliniuliza ushaolewa nikamwambia ndio na nina watoto 2, nikamwomba nitampigia baadae sababu nilikua biz kidogo, saa kumi na moja natoka oficn akanipigia nikaongea nae kwenye gari mpaka nafika nyumbani, tukapiga story nyingi.

Ila siku zinavyozid kwenda ndo anazzidi kutaka kuwa karibu na mimi, mara nikapata parcel ya dhl ina zawadi iliyoambatanishwa na picha ipo katika frame tuliopiga mi na yeye enzi tupo s.africa kwakweli nilikumbuka mbali, nilipiga simu na kumwambia asante na nimeiweka ofcn kwangu. Ila nami nampenda na alinitamkia nimekupata tena sitegemei kukupoteza tena.

Juzi nimemtumia msg ndefu nikamweleza ukweli mimi siwezi kuendelea nae sababu mi nin familia yangu nae ana familia yake sasa kila mtu achukue time yake, kwakweli kanitumia msg nyingi sana kaniomba nisifanye ivyo, nimeamua ni mblock kila mahala ila cha kushangaza kanunua laini nyingi kwa ajili yangu nayo nimeblock, anatumia line nyingine, kwa sababu kila navyoendelea kuchati nae name nazidi kumpenda ili kuepusha imebid nifanye ivyo. Sasa jana nimeka nimewaza mengi sana juu yake na nina mpenda na nikiangalia upande wa mume wangu nae kanitenda sana ila mi sitaki kufanya ivyo sababu wakati wa kufunga ndoa niliungama pale mbele nikasema huyu ndo awe mume wangu mpaka kufa… kwakweli in short alikua chagua langu na nilikua nampenda ila wanavyosema ndoa upangwa na Mungu ndo maana tulipoteana.
Pole kwa uvumilivu wa ndoa yako najua yote hayo unafanya kisa unawatoto kaza buti utayashinda
 
Back
Top Bottom