Nimekuta mke wangu ana maongezi ya kimapenzi na mwanaume kwenye simu yake

Mimi pia nilikuta charting kwenye simu ya mkewangu nilichofanya niliongea na jamaa akaniambia mkewangu alimwambia hajaolewa hivyo alisikitika sana na kuniomba msamaha na kilichonipa moyo ni kuwa ndo alikuwa anaanza kutongoza nimemuonya wife na nachunguza mienendo yake
Dah ndoa izi yaan ulifurahi coz alikua anaanza afu umesahahu alisema hajaolewa maanake hayuko praud ww kuwa mmeo
 
Hii kauli rahisi sana kusema mkiwa mnaishi kisela


Ikishafikia hatua mna watoto 2+ plus, wazazi wa pande mbili washakuwa ndugu

Umezoea jioni watoto na wife kukupokea then haraka haraka uje usaliti then haraka haraka break up inaumiza hakuna mfano

Unawaza watoto wanaenda shule na bashasha kwasababu ya uwepo wa good parenting

Askimbie mtu inauma kuona watoto hawana furaha

Tulio kwenye ndoa tunajua haya

Miaka ya uharibifu kwenye ndoa ni 20s to 55

Nakuombea kijana Mungu akutie nguvu

Sikwambii umwache ila mwanamke mwaminifu anajulikana soma meseji neno kwa neno ujue km ameshawishiwa au yeye ndio ameamua kutoka kwenye mahusiano yenu

Umeongea fact sana Mkuu..!
 
Kiufupi tuu ni kwamba, ukishajua ashalowa aise huna hata haja ya kuomba ushauri. Piga chini.

Narudia tena, huyo ndio tabia yake piga chini, mpe mtoto aende nae.
 
Ukiangalia watoto huwezi fukuza mke hata ukimkuta ndani ya kitanda chako.
Usione wanaume walio ndoani wanakufa mapema wameelemewa kubeba mengi ili kulinda watoto,hasa kama ulitoka kwenye malezi ya kutoachana
 
Back
Top Bottom