Alceu_v007
Member
- Feb 18, 2022
- 39
- 122
kuna mwamba anasemaga humu, havina muongozoMoyo wangu umeshachoka hata kushauri nimekata tamaa mapenzi hayashauriki mkuu kwakifupi hamna anae yajulia we pambana na msala wako
kuna mwamba anasemaga humu, havina muongozoMoyo wangu umeshachoka hata kushauri nimekata tamaa mapenzi hayashauriki mkuu kwakifupi hamna anae yajulia we pambana na msala wako
Umezidi ulokoleWakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wanalove desire, mbaya zaidi tunamtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyeje?
Mbarikiwe!
Dah ndoa izi yaan ulifurahi coz alikua anaanza afu umesahahu alisema hajaolewa maanake hayuko praud ww kuwa mmeoMimi pia nilikuta charting kwenye simu ya mkewangu nilichofanya niliongea na jamaa akaniambia mkewangu alimwambia hajaolewa hivyo alisikitika sana na kuniomba msamaha na kilichonipa moyo ni kuwa ndo alikuwa anaanza kutongoza nimemuonya wife na nachunguza mienendo yake
Hii kauli rahisi sana kusema mkiwa mnaishi kisela
Ikishafikia hatua mna watoto 2+ plus, wazazi wa pande mbili washakuwa ndugu
Umezoea jioni watoto na wife kukupokea then haraka haraka uje usaliti then haraka haraka break up inaumiza hakuna mfano
Unawaza watoto wanaenda shule na bashasha kwasababu ya uwepo wa good parenting
Askimbie mtu inauma kuona watoto hawana furaha
Tulio kwenye ndoa tunajua haya
Miaka ya uharibifu kwenye ndoa ni 20s to 55
Nakuombea kijana Mungu akutie nguvu
Sikwambii umwache ila mwanamke mwaminifu anajulikana soma meseji neno kwa neno ujue km ameshawishiwa au yeye ndio ameamua kutoka kwenye mahusiano yenu
Mkanye mkeo na huyo mwanaume nae mkanyeWakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wana love desire, mbaya zaidi tuna mtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama.
Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyeje?
Mbarikiwe!
Awe makini tu window 7 huwa haipigwi chini kindezi unaweza ihitaji baadaePiga window chini
Umepata ulichokuwa unakitafuta safi sanaNimekuta charting zake simu yake aliweka pasword akajisahau kuitoa
100%Mwanamke uangali nyege zaidi kuliko familia akishaachika ndio ujua umuhimu wa ndoa baada ya wahuni kumkimbia
Sawa mkuuAwe makini tu window 7 huwa haipigwi chini kindezi unaweza ihitaji baadae
SAWA mkuuKiufupi tuu ni kwamba, ukishajua ashalowa aise huna hata haja ya kuomba ushauri. Piga chini.
Narudia tena, huyo ndio tabia yake piga chini, mpe mtoto aende nae.
SawaKiufupi tuu ni kwamba, ukishajua ashalowa aise huna hata haja ya kuomba ushauri. Piga chini.
Narudia tena, huyo ndio tabia yake piga chini, mpe mtoto aende nae.
Ukweli mtupuUkiangalia watoto huwezi fukuza mke hata ukimkuta ndani ya kitanda chako.
Usione wanaume walio ndoani wanakufa mapema wameelemewa kubeba mengi ili kulinda watoto,hasa kama ulitoka kwenye malezi ya kutoachana