Hujui kaamua liwalo na liwe,mnyime dudu mpaka aende kwa kasisiNimekuta charting zake simu yake aliweka pasword akajisahau kuitoa
Hujui kaamua liwalo na liwe,mnyime dudu mpaka aende kwa kasisiNimekuta charting zake simu yake aliweka pasword akajisahau kuitoa
Afya ya akili hii maswala yako unaleta umuWakuu habari.
Imeniuma saana, na tayari wanalove desire, mbaya zaidi tunamtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyaje
Mbarikiwe
Kilanga komwe hasira hasara angalia usiangukiwe na matofari tuMkuu, pole sana.
Usifanye uamuzi wowote kuanzia hivi sasa juu ya hatma yenu, kaa chini utafakari kisha muweke chini mkeo mzungumze.
Muulize kwa utaratibu bila hasira ni nini kilichopelekea yeye kufanya hivyo?
Akikujibu utapima mwenyewe, akionesha kujutia na kukuhitaji msamehe na kumkanya, otherwise amua mwenyewe.
Kwani najali basi?Kilanga komwe hasira hasara angalia usiangukiwe na matofari tu
Mimi simu yake nakaa nayo 24 hrs, na Kila Simu inayopigwa lazima nijue ni nani, kwenye phone book yake lazima niwajue usipofanya hivyo utaishi na Malaya ndani, na atakudhalilisha maana akianza kugongwa nje wewe anakuvua nguo.Anatokea mjinga mmoja anakwambia usishike Simu ya mkeo.. Utaishi na malaya ndani anayeitwa mke.
Ushauri wangu msemehe, asipojirekebisha fukuza.
Hata wasio pisi watu hawachagui rangiAsilimia tisini pisi kali hazina mwanaume mmoja hata awe mke wako ukilijua hilo hupati shida!
Lakini Malaya achungiki hata ukae na simu yake.Mimi simu yake nakaa nayo 24 hrs, na Kila Simu inayopigwa lazima nijue ni nani, kwenye phone book yake lazima niwajue usipofanya hivyo utaishi na Malaya ndani, na atakudhalilisha maana akianza kugongwa nje wewe anakuvua nguo.
sawaMkuu, pole sana.
Usifanye uamuzi wowote kuanzia hivi sasa juu ya hatma yenu, kaa chini utafakari kisha muweke chini mkeo mzungumze.
Muulize kwa utaratibu bila hasira ni nini kilichopelekea yeye kufanya hivyo?
Akikujibu utapima mwenyewe, akionesha kujutia na kukuhitaji msamehe na kumkanya, otherwise amua mwenyewe.
Wewe toka umeoa ulishawahi kuchepuka japo mala moja mkuu ?Nimekuta charting zake simu yake aliweka pasword akajisahau kuitoa
Na hya mambo mkuu ukisema uyafatilie sana hata wanaojibu ovyo ukute wanachapuwa ni vile hawajajua bado.Janga la kitaifa Kwa Sasa.
Labda uoe malaika.
Cha msingi tafuta mke wa jamaa upite nae Kisha Mme na mke wako wote wajue
Wewe ulishawahi kuchepuka mkuu ?Mkuu hii ni human behaviour, hatuwezi kufanana. Ila kwa upande wangu uzinzi kwenye ndoa hauna excuse, bila kujali chochote.
Nasema hivyo kwa sababu inakuwa mwisho wa kukupenda na kukujali, itabaki mke jina tu. Sijui tutalalaje wote, sijui nitaanzaje kula k yake.
Kwa hiyo mke wangu ajitahidi sana nisimdake wala kuonyesha dalili za kuchepuka. Na mimi kwa sababu najua udhaifu wangu nitajitahidi nisimfukunyue.
Nina manzi hapa nilishamuweka kwenye plan zangu, lakini siku niliponusa anachepuka, hakuamini macho yake. Nilimlia mikausho, akadhani natania kwa jinsi nilivyokuwa nampa attention aliamini siwezi kupindua. Leo miezi imekata, NO call No text
We jali tu haina tabuKwani najali basi?
Mtoto Mdogo badoUnatuangusha mkuu. Huu ulitakiwa kuwa uzi wa kutupa taarifa ya kumuacha tu.
Hakuna kuvumilia mwanamke mzinzi. Piga chini fasta ubaki kulea mwanao tu.
Unatuang