Nimekumbuka Manyara

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,231
images
 
Mbulu maeneo flani maeneo ya mjini
​
2251092045_c890ca19b7_m.jpg
 
2006/2008 nilikuwa kwenye hizo maeneo,dah nimeyamiss,i hope nitaenda tena

We Bw Excellent, mbona sura yako ukicheki ni ya watu wa huko huko Manyara. Kama sivyo basi kuna kamchezo umefanyika uliza wazee wako, hili si bure kufanania. Hapo kuna kawiza fulani umefanyika. Inabidi utafute asili yako. Si ajabu hao vigori 3 wa Chief Sarwatt wanaopita karibu na kanisa Katoliki Mbulu ni dada zako. Unabisha????????????????????
 
Ungeweka na SUNVIC,tungekuelewa sana!!labda na kapicha ka Imboru ulikosomea

SUNVIC
Haydom , Maghang, Dongobesh, Bashay, Tlaw, Mbulu , Daudi, aicho, Endabash , Seremai , Karatu, Mto wa Mbu, Makuyuni, Duka Mbovu, Kisongo Arusha..

Mteai
wale wa Hydom wanatakiwa wa pande daladala mpaka Dongobesh , sababu Mtei haifiki Hydom..safari ni hivi.
Mbulu, Dongobesh, Madunga, Bashnati, Dabil, Dareda Mission, Dareda Kati, Babati, Madwa, Madukani , Vilima vitatu, Magugu,
Makuyuni , ( Juction hapo)............................. Arusha..
 
Back
Top Bottom