I like those comments. Jaman nashukuruni sana kwa hizi pics maana zimenikumbusha Mbulu/Haydom kwetu ukizingatia nimeshindwa kwenda x-mass kipindi hiki.
Big up friends and Happy festive season!
Duhhhh
Umesoma Singe mwaka gani??
Nilisoma pale 2005 kidato cha Tano.. Wewe mwaka gani?
hakuna gari la mtei liendalo mbulu,