Nimekumbuka hiki Kisa kipindi hiki Jamiiforums si ni Utawala Huru? Tunajimwaya mwaya tu

Nimekumbuka hiki Kisa kipindi hiki Jamiiforums si ni Utawala Huru? Tunajimwaya mwaya tu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,625
Reaction score
29,891
Mfano mtu akituma uzi wa lugha mbaya au akiamua kutukana hata serikali. Huo uzi si utaachwa tu mpaka siku 90 ziishe ndo Mods watakuja uona?

Maana wakiuondoa itakuwa mgogoro na TCRA wameuondoaje na wakati wamefungiwa? Je wanaingia JF kupitia VPN? kosa jingine.

Nikakumbuka habari ya Mlinzi ambaye alilala lindoni akaota boss wake anapata ajali safarini. Kesho yake kweli kuamka akamwona boss wake anakuja na mabag yapakiwe kwenye gari ana safari. Mlinzi akakumbuka pia kwenye ndoto aliona boss wake kavaa nguo hizo na mabag hayo.

Je amwambie boss wake kuhusu ndoto yake au amwache aende zake? Akimwambia boss atagundua mlinzi huwa analala windoni. Akimwacha boss ataenda pata ajali na kufariki. Afanyeje?

Akitema nchale, akimung'unya nchale, akimeza nchale akibaki nayo mdomoni nchale.

Sasa wadau humu JF JE NI UTAWALA HURU? MODS HAWAPO MAANA JF IMEFUNGIWA. NANI ATAREKEBISHA MAKOSA? KWA SASA UNAWEZA HATA OGA HAPO NA HAKUNA MTU WA KUKUBUGUDHI. MPAKA SIKU 90 ZIISHE.
 
MAX alijitoa kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi diku hiyo hiyo maana yake hakutaka lawama za nani aliwapa serikali taarifa zako, alijivua lawama siku hiyo hiyo akimaanisha chochote ufanyacho TCRA wanakiona na ukidakwa ni juu yako mwenyewe.

JIulize mtandao walioufungia wao TCRA wanaingia kufanya nini?

Au baada ya kuufungia huduma kwa siku 90 wao ndio wana moderate?
 
Mfano mtu akituma uzi wa lugha mbaya au akiamua kutukana hata serikali. Huo uzi si utaachwa tu mpaka siku 90 ziishe ndo Mods watakuja uona?

Maana wakiuondoa itakuwa mgogoro na TCRA wameuondoaje na wakati wamefungiwa? Je wanaingia JF kupitia VPN? kosa jingine.

Nikakumbuka habari ya Mlinzi ambaye alilala lindoni akaota boss wake anapata ajali safarini. Kesho yake kweli kuamka akamwona boss wake anakuja na mabag yapakiwe kwenye gari ana safari. Mlinzi akakumbuka pia kwenye ndoto aliona boss wake kavaa nguo hizo na mabag hayo.

Je amwambie boss wake kuhusu ndoto yake au amwache aende zake? Akimwambia boss atagundua mlinzi huwa analala windoni. Akimwacha boss ataenda pata ajali na kufariki. Afanyeje?

Akitema nchale, akimung'unya nchale, akimeza nchale akibaki nayo mdomoni nchale.

Sasa wadau humu JF JE NI UTAWALA HURU? MODS HAWAPO MAANA JF IMEFUNGIWA. NANI ATAREKEBISHA MAKOSA? KWA SASA UNAWEZA HATA OGA HAPO NA HAKUNA MTU WA KUKUBUGUDHI. MPAKA SIKU 90 ZIISHE.
Vip kama wana Mods nje ya Tanzania?
 
JF Imezuiwa Tanzania peke ake kwahiyo nje ya Tanzania tulipo sisi inaruhusiwa kufanya kazi

Halafu hata Max Kuna kitu alimwambia member kwenye Uzi wake ule wa taarifa kuwa aombe ruhusa kwa tcra ya kutumia vpn kwa maana ya kuwa yeye kama yupo Tz anayoruhusa ya kutumia vpn

Nikiripoti kutoka hapa Mogadishu China
 
MAX alijitoa kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi diku hiyo hiyo maana yake hakutaka lawama za nani aliwapa serikali taarifa zako, alijivua lawama siku hiyo hiyo akimaanisha chochote ufanyacho TCRA wanakiona na ukidakwa ni juu yako mwenyewe.

JIulize mtandao walioufungia wao TCRA wanaingia kufanya nini?

Au baada ya kuufungia huduma kwa siku 90 wao ndio wana moderate?
unaeleza vitu visivyo relate, na unataka watu wakusome, kukuelewa na kukuamini, ELIMU ELIMU ELIMU
 
MAX alijitoa kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi diku hiyo hiyo maana yake hakutaka lawama za nani aliwapa serikali taarifa zako, alijivua lawama siku hiyo hiyo akimaanisha chochote ufanyacho TCRA wanakiona na ukidakwa ni juu yako mwenyewe.

JIulize mtandao walioufungia wao TCRA wanaingia kufanya nini?

Au baada ya kuufungia huduma kwa siku 90 wao ndio wana moderate?

TCRA hawawezi kupata taarifa zako hapa mpaka Either Wewe mwenyewe uwape au JF Wawape.
 
wamefumgia X lkn mgombea urais wa kupitia ccm huwa anaingia ku tweet
 
Jf imefungiwa Tz tu. Rwanda ipo kama kawa na mods wa kule Rwanda wanaratibu mpaka huku.
 
Huwezi kuzuia moshi usitoke kwenye tanuru la kuchomea mkaa, moshi ni lazima utoke tu kila unapoziba tundu moja lingine linafunguka. 🤔
 
Siku ya Yanga day kuna comment niliandika ila wakaiedit, nikajiuliza mods wamewezaje kuedit ile coment wakati tumefungiwa nikaconclude nao mods watakuwa Russia kama mimi sio wote wapo Tanzania🤠🤠🤠
Mfano mtu akituma uzi wa lugha mbaya au akiamua kutukana hata serikali. Huo uzi si utaachwa tu mpaka siku 90 ziishe ndo Mods watakuja uona?

Maana wakiuondoa itakuwa mgogoro na TCRA wameuondoaje na wakati wamefungiwa? Je wanaingia JF kupitia VPN? kosa jingine.

Nikakumbuka habari ya Mlinzi ambaye alilala lindoni akaota boss wake anapata ajali safarini. Kesho yake kweli kuamka akamwona boss wake anakuja na mabag yapakiwe kwenye gari ana safari. Mlinzi akakumbuka pia kwenye ndoto aliona boss wake kavaa nguo hizo na mabag hayo.

Je amwambie boss wake kuhusu ndoto yake au amwache aende zake? Akimwambia boss atagundua mlinzi huwa analala windoni. Akimwacha boss ataenda pata ajali na kufariki. Afanyeje?

Akitema nchale, akimung'unya nchale, akimeza nchale akibaki nayo mdomoni nchale.

Sasa wadau humu JF JE NI UTAWALA HURU? MODS HAWAPO MAANA JF IMEFUNGIWA. NANI ATAREKEBISHA MAKOSA? KWA SASA UNAWEZA HATA OGA HAPO NA HAKUNA MTU WA KUKUBUGUDHI. MPAKA SIKU 90 ZIISHE.
 
Hii sasa ni jamii Africa. Imefungiwa Tanzania ila sio nchi nyingine. Ndio maana vpn inapochange address yako virtually unapata access. Mods wapo kazini, jamii Africa ipo hewani.
Mfano mtu akituma uzi wa lugha mbaya au akiamua kutukana hata serikali. Huo uzi si utaachwa tu mpaka siku 90 ziishe ndo Mods watakuja uona?

Maana wakiuondoa itakuwa mgogoro na TCRA wameuondoaje na wakati wamefungiwa? Je wanaingia JF kupitia VPN? kosa jingine.

Nikakumbuka habari ya Mlinzi ambaye alilala lindoni akaota boss wake anapata ajali safarini. Kesho yake kweli kuamka akamwona boss wake anakuja na mabag yapakiwe kwenye gari ana safari. Mlinzi akakumbuka pia kwenye ndoto aliona boss wake kavaa nguo hizo na mabag hayo.

Je amwambie boss wake kuhusu ndoto yake au amwache aende zake? Akimwambia boss atagundua mlinzi huwa analala windoni. Akimwacha boss ataenda pata ajali na kufariki. Afanyeje?

Akitema nchale, akimung'unya nchale, akimeza nchale akibaki nayo mdomoni nchale.

Sasa wadau humu JF JE NI UTAWALA HURU? MODS HAWAPO MAANA JF IMEFUNGIWA. NANI ATAREKEBISHA MAKOSA? KWA SASA UNAWEZA HATA OGA HAPO NA HAKUNA MTU WA KUKUBUGUDHI. MPAKA SIKU 90 ZIISHE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom