tuna ndoto za udaktariHv kwann ninyi PCB mnalazimisha kusoma MD?
Hebu angalia matokeo yako zen angalia competition zen angalia vision yako
Kuna koz kama forest, aqua culture, horticulture, range management n.k
Kwa nn mnashobokea MD kwa vyuo uchwara?
Nimepata alama kama zako PCB na nimeapply bachelor of pharmarcy na nimepata kwahiyo kama una mpango wa kuapply omba Mungu akusaidie na utapataNimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
BAM na GS ulipataje mkuuNimepata alama kama zako PCB na nimeapply bachelor of pharmarcy na nimepata kwahiyo kama una mpango wa kuapply omba Mungu akusaidie na utapata
Iv iyo kampala hasikiii kama imefungwa kudahili MD na phamarcy ama kiburNimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
Una uhakika na usemacho?.St. Joseph amefungiwa. kwani hicho kitabu cha TCU hujakisoma?
Si kweli KIU hakijafungiwa.Iv iyo kampala hasikiii kama imefungwa kudahili MD na phamarcy ama kibur
St Joseph ya health haijafungiwaSt. Joseph amefungiwa. kwani hicho kitabu cha TCU hujakisoma?
Kampala haijafungiwa mkuuIv iyo kampala hasikiii kama imefungwa kudahili MD na phamarcy ama kibur
mm nimepata CCD na nimeomba kama ww kwa mantiki hiyo ushindani nimkubwa na kuna ninaowafaham kama kumi ivi wamejaza ivoivo cha msingi apo tupia na education moja manake ya mungu mengi....Nimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
We umetupia[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1]mm nimepata CCD na nimeomba kama ww kwa mantiki hiyo ushindani nimkubwa na kuna ninaowafaham kama kumi ivi wamejaza ivoivo cha msingi apo tupia na education moja manake ya mungu mengi....
ni hayotuu....
yeah nimeeka pale......We umetupia[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1]
Nafikiria kusoma tax na biashara au fedha ngoja web ifunguke maana serkl hii [emoji21][emoji21][emoji21]yeah nimeeka pale......
Hiyo biology ndio inakuponza mkuuNimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
kumbe ata kwako inasumbua??Nafikiria kusoma tax na biashara au fedha ngoja web ifunguke maana serkl hii [emoji21][emoji21][emoji21]