Nimekosa First Round, kwa nilivochagua hapa nitapata second round?

Nimekosa First Round, kwa nilivochagua hapa nitapata second round?

mm nimepata CCD na nimeomba kama ww kwa mantiki hiyo ushindani nimkubwa na kuna ninaowafaham kama kumi ivi wamejaza ivoivo cha msingi apo tupia na education moja manake ya mungu mengi....

ni hayotuu....
bas kama umetupia mwalimu mtarajiwa
 
Nna uhakika hujaisoma guide book.

Na kama umeisoma basi hukuilewa.

Na kama umeilewa,basi upo hapa kuwajaza hofu zisizo na mpango vijana.
Kama ingekuwa ivo tcu wasingenichagua
 
Hv kwann ninyi PCB mnalazimisha kusoma MD?
Hebu angalia matokeo yako zen angalia competition zen angalia vision yako

Kuna koz kama forest, aqua culture, horticulture, range management n.k
Kwa nn mnashobokea MD kwa vyuo uchwara?
Kila mtu ana malengo yake kama ww umeenda somea hizo is up to ww, na kuhusu vyuo uchwara naamini umepayuka tuu, logic huna
 
Kampala umepata BT ada za mwendo kasi
sio kweli jina la chuo lisikutishe Kampala wanalipa ada ndogo tuu na its affordable kwamfano... kodi ya diploma ya medicine pale ni 950000 kwa semister, sasa kozi hyo tazama vyuo vingine vya private
 
Kila mtu ana malengo yake kama ww umeenda somea hizo is up to ww, na kuhusu vyuo uchwara naamini umepayuka tuu, logic huna
Mbona unafoka moshi?
Basi kama unajifanya una vision zako utaendelea kusugua benchi mtaan had uuze kete
 
Je na hivi mkuu 1.st.john dodoma 2.Kampala 3.teofilo kisanji 4.st.john dar 5.eckenforde bachelor of arts with education division two 12 DCE hkl
Mkuu apo ww ni St. John dodoma au dar
 
Hv kwann ninyi PCB mnalazimisha kusoma MD?
Hebu angalia matokeo yako zen angalia competition zen angalia vision yako

Kuna koz kama forest, aqua culture, horticulture, range management n.k
Kwa nn mnashobokea MD kwa vyuo uchwara?
Mkuu usikatishe watu tamaa acha wakomae na MD watapata tu
 
jee kwa ambae nna CCD nimejaza kama uyo jamaa nitapata kweli au nisubir round ya 3[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu usijali ata ukikosa Kuna batch hadi ya 9 we tulia usiwe na wasiwasi lazima uitwe first year mwaka huu
 
Mkuuu KIU ipo kweny guide usiwe mbishi
Wapi nimeandika KIU kimefungiwa au hakipo kwenye guide book?.

Unaruhusiwa kuweka ushahidi kwa kuni quote.

Ukishindwa kufanya hivyo ni wewe ndiyo utakayekuwa mbishi si mimi.

Na sio tu utakuwa mbishi,bali hata ukifanyacho utakuwa hukijui.
 
Mkuu usijali ata ukikosa Kuna batch hadi ya 9 we tulia usiwe na wasiwasi lazima uitwe first year mwaka huu
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] lazima niwe KIU pale ata nisome meter...[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom