JaphetJacob
Senior Member
- Dec 11, 2015
- 106
- 121
Nimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
Kwan wamefanyajeeehiyo kampala mnaiganda nini? hasikii habari zake? tafuta course nyingine ya sayansi sio lazima afya
Unapata .. Anza kuandaa ada tu kijanaNimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
UnapataaaaaaJe na hivi mkuu 1.st.john dodoma 2.Kampala 3.teofilo kisanji 4.st.john dar 5.eckenforde bachelor of arts with education division two 12 DCE hkl
sidhaniNimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
Ongeza hapo education couz kama hiyo E ni ya phyz utakua na probability kubwa ya kukosaaaNimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
Ila angalia GS na bam kama una f wala usijihangaishe na hizo koz ila ka umepig fresh poaNimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
Kwani waliochaguliwa afya hawakuwa na F ya BAMIla angalia GS na bam kama una f wala usijihangaishe na hizo koz ila ka umepig fresh poa
Hv kwann ninyi PCB mnalazimisha kusoma MD?Nimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
Dogo hivyo sio vyuo vya kusoma hata hivyo huwezi kupata kwa alama hizoNimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
Dogo hapo pia hakuna hata chuo kimoja uta enda kula msoto tuJe na hivi mkuu 1.st.john dodoma 2.Kampala 3.teofilo kisanji 4.st.john dar 5.eckenforde bachelor of arts with education division two 12 DCE hkl
Kama una f ya bam sahau afya na physics uwe na alama kubwa nenda diploma ya afya au ualimu maan competition ni kubwa sanaKwani waliochaguliwa afya hawakuwa na F ya BAM
Mbona unamtisha mwache akasome(kama akipata).Dogo hapo pia hakuna hata chuo kimoja uta enda kula msoto tu
Kwanini mkuuDogo hapo pia hakuna hata chuo kimoja uta enda kula msoto tu
Hapo unapata hila inabidi uwe na hela ya ziada ya kuongeza AdaNimekosa first round nina DCE kwa PCB
Je, kwa hapa nitapata?
1. MD-Kampala
2. Pharmacy-Kampala
3. MD-St Joseph
habari gani?hiyo kampala mnaiganda nini? hasikii habari zake? tafuta course nyingine ya sayansi sio lazima afya