Kwa taarifa yako wenye magari ya mkopo ndio eti wanaazimisha ili kujifanya wanazo..... jitu lililonunua gari kwa kuzichanga linaanzaje kukupaMkuu gari ya mkopo huwa haiazimishwi
HAHAHAAAKama heading inavyojieleza, kuazimisha gari n risk kubwa sana.
Wili iliyopita, kuna rafiki yangu wa karibu sana aliomba gari yangu (kwa madai yake) aende kuwaona wazazi wake Wilaya ya jirani,umbali wa kilomita 80. Ni safari ya kwenda na kurudi kwa siku moja. Nilimpa kwa makubali hayo, aende na kurudi siku hiyohiyo.
Baadae jioni nikapigiwa simu na polisi akinieleza kwamba, jamaa yangu alifumaniwa na mke wa mtu guest house.Mwenye mke akatafuta vijana wakaanza kupiga gari kwanza na kumtandika yeye.
Gari ikavunjwa vioo vyote, taa za mbele, wakaiba sub woofer, kadi ya gari na vitu vingine vilivyokuwamo.
Baada ya kichapo hicho na kuharibiwa gari, msamalia mwema akamuona na kumpeleka polisi ili akapate PF 3 kwa ajili ya matibabu.Polisi baada ya kimhoji sana, akaeleza tu ukweli kwamba alifumaniwa akabondwa.
Mpaka sasa gari ipo polisi lakini haifai.Mm napanda daladala kwenda kazini.
"Subaru Forester"
Mbaya zaidi gari ya mkopo.Mke wangu sijamweleza mkasa mzima.
Full head ache.
Nimekoma kuazimisha gari, kama nikija kununua lingine.
Mweh!Wengine tunamiliki magari ya kibiashara.. Unanunua Hiace ya M30 au Coaster ya M60 unamkabidhi mvuta bangi usiyemjua aendeshe, wewe mwenye ki Paso cha milioni saba unashindwa kumuazima mtu wako wa karibu! Kweli tumetofautiana sana...
Tatizo unaandika hovyohovyo.....Hapa kichwa kinaniumaHAHAHAAA
Umenifurahishaaaaa polesanaaa hatahivyoo Hugo n falaaa mkewamtuu awaendagii namagarii lodge. Wakatimwingine hatanguoo wanavaa nani Niki mbili wakishtukiwa wanakimbia sehemu wanatoa za zamani waNabakinazingine hilobwege umelipata wapi......
KISA CHANGU N KAMAHIKO CHA KUAZIMA
I'la akufumaniaaa... Aliombaaa jumamosii wanaaharusii nkamwambiaa wekatu mafutaaa akajachuukua Noah....asbh
Sasitamchana o nikahisi nikazunguke nawananguu bagamoyooo.... Nkaanza safariii naikaribiaa bagamoyoo Naonaa Noah kamayangu imepitaaa vuuuu mmh namwambia mamaaaa speed ilesijuj Kama atafikaaa... Loh mbele kunaaa polisi... Nikaonaa NOAH YANGU IMEPAKI PEMBENI DREVA N MWINGINE ANATONGOZANA NA TRAFFIC.. NA HUKU FRAFFIC MDADA ANANISEMESHA KAKA MTAKUFA NKAMWAMBIA NAIKIMBIZA HIO NOAH
KAKANGU NDIE NIMEMPA GAFLA NAONAA IKO NAWATU NDANI INAELEKEA BAGAMOYO TUNAFUKUZANA... HEE. YULE DEREVA AKAITWA AKAJA NA YULE TRAFFIC AIEMKAMATA ANAULIZWA UMEPATA WAPIHII GARI.. AKATAJA JINA LINGINE KABISA.. NIAMPIGIA JAMAA AKASEMA YE ANAGARINYINGIN SO AMEMPA RAFIKIYAKE AKACHUKUE WAKWE.. MBAGALA. NKAMWAMBIA UNALIJUA JINA LA FREDDY HAPANA.. (DREVA)
OK.. NIKAMWOMBA DREVA NAMBA YA ALIEMPA GARI YANGU... NIKAONGEA NAE SAFI KABISA AKASEMA YEYE NI DALALI AMEPATA KAZI YA SAFAR AKAMPIGIA ANDREW(RAFIKI) AKASEMA NOAH INAPATIKANA NA TUMEMPA HELA INGAWA ALIGOMA TAJA KIASI.. NIAWAJUMUISHA KWENYE CONVERSATION WAKAJUANA AKAOMBA MSAMAHA.. KILICHOFWATA NIKAULIZA MNAELEKEAA WAPI AKASEMA MSATA... NIKAMWAMBIA DREVA MPIGIE ALIEKUPA GARI.. HIIGARI INAGEUKA HAPA N YANGU...
AALEMAKAKA WALIKUA WANNE NAMABINTI WANNE WAKAGOMASHUKA WANATAKA USAFIRI WAKUWAMALIZIA... NIKAMPIGIA NILIEMPA GARI HII GARI INAISHIA HAPAAA.. RUSHAHELA TAX IWAPELEKE JAMAA ZAKO AKAOMBAA ANANIRUSHIA HELA NIWAPELEKE MM NKAMWAMBIA NEVER N EVER
IKASIMAMISHWA NOAH NYINGINE WAKABAGAIN JAMAA AKAWARUSHA HELA NIKAINGIA KWA NOAH MM NIKAMWACHIA PREMIO TUKAENDA BGMOYO BACK FOLLOWING DAY
SINCE SINAHAMUNAOO
Inategemeana na jinsi mtu anavyojipangia kanuni zake za maisha.Porojo hizo, tokea lini kifaa cha moto kikaazimishwa!