clemence
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 594
- 212
Ni imani yangu akikupa baada ya siku moja utakitumbukiza choonitafadhali usikitupe,naomba unipe mim kaka
Ni imani yangu akikupa baada ya siku moja utakitumbukiza choonitafadhali usikitupe,naomba unipe mim kaka
Sijapenda kuingilia budget yangu ila wameniboa kila ikifika taarfa ya habari scratch zinaanza hasahsa ITV hivi vya star times havifai
Nauliza king'amuzi gani kisichoonesha ITV na EATV? hizi chanel sizipendi
Mwisho wa matatizo...
Yeyote yule mwingine mwenye maradhi ya kutupa vitu vikiwakera , visimbuzi,wake zao ,gari zao ,mifugo yao .wani pm mimi ndiye mwokota takataka mahiri majumbani!
Ni king'amuzi cha Startimes, baada ya kuona hakioneshi vizuri Chanel za IPP media especially ITV. Nilidhani ni kwangu tu, ila nimeona na jamaa zangu ni hivyo hivyo. Nilitamani nikikanyage kabisa. Nimefunga kingine, hata mabango ya Startimes sitaki kuyaona.
Yeyote yule mwingine mwenye maradhi ya kutupa vitu vikiwakera , visimbuzi,wake zao ,gari zao ,mifugo yao .wani pm mimi ndiye mwokota takataka mahiri majumbani!
Na unapotoa 150,000/= kwa mwezi usilalamike!
Umefunga kipi mkuu ili na Mimi nikafunge?Ni king'amuzi cha Startimes, baada ya kuona hakioneshi vizuri Chanel za IPP media especially ITV. Nilidhani ni kwangu tu, ila nimeona na jamaa zangu ni hivyo hivyo. Nilitamani nikikanyage kabisa. Nimefunga kingine, hata mabango ya Startimes sitaki kuyaona.