Mpwa kuwa na Huruma na ndugu zako walimu, top garage wengine wanaisikia mpwa.ALIEKULIPIA CHUO KIKUU KAANZA KURUDISHA CHAKE WADOGOZENU NAWAO WASOME AKA WAKALIPIWE...KUWENI WAPOLE TU
Hawezi kupata salary slip mapema kama unavyofikiria,mimi najua ya mwezi huu anaipata mwezi unaofuata.Sasa kama mwalim mzima,unashindwa kujua kwanini unakatwa.Hao wanafunzi assignments mnazowapa inakuwaje kweli.
Kwenye slip si inaonyesha?maana makato yoyote kweye salary lazima yaonyeshe ni makato ya nini.
Fuailia,acha kulalamika Mwalim unaenitia mashaka na taaluma.