Nimekatwa 12, 000 kwenye mshahara

Nimekatwa 12, 000 kwenye mshahara

Kiukwel nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu. Hacha tuisome namba
Kwan mishahara imetoka tayari
 
Nasikia mwez wa tisa watumishi wa umma mnapewa salary yenye nyongeza ya mshahara,naona mmejiandaa kutupiga bao
 
Kiukwel nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu. Hacha tuisome namba
Increment ipo?
 
Sasa kama mwalim mzima,unashindwa kujua kwanini unakatwa.Hao wanafunzi assignments mnazowapa inakuwaje kweli.
Kwenye slip si inaonyesha?maana makato yoyote kweye salary lazima yaonyeshe ni makato ya nini.
Fuailia,acha kulalamika Mwalim unaenitia mashaka na taaluma.
Salary slip ya mwezi huu inakuja mwezi ujao kwa ninavyofahamu.Salary slip Utakayoikuta ni ya mwezi wa nane.
 
Kiukwel nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu. Hacha tuisome namba
Dawa ni Kuacha kazi tu, acha kulalama
 
Sasa kama mwalim mzima,unashindwa kujua kwanini unakatwa.Hao wanafunzi assignments mnazowapa inakuwaje kweli.
Kwenye slip si inaonyesha?maana makato yoyote kweye salary lazima yaonyeshe ni makato ya nini.
Fuailia,acha kulalamika Mwalim unaenitia mashaka na taaluma.
Kwni slip unapewa siku ile ile ambayo unapokea mshahara????????
 
Hata my wife wangu kakatwa...nafkiria nimpe mtaji auze tu samaki maana walimu hawapewi uthamani hii nchi,badala ya increment wanakuta decrement??!? Baba Lowassa alisema angeanza na walimu,elimu mpaka chuo burree!! Asee nimeona ukame/dhiki kuu;
- Kupanda madaraja walimu hamjapanda
- Pesa ya likizo ya mwezi wa sita hadi leo holaa na ikitoka ni kiduchu.
- Walimu wanapanda madaraja baada ya miaka 4 mpaka 5,badala ya 3.
- Elimu bure mitihani inaandikwa ubaoni badala ya kuchapishwa.
- Elimu bure walimu hawapati hata chai yamkono 1 mpaka saa tisa labda wajibebee.
- walimu wa sayansi wanakatwa pesa nyingi zaidi na bodi ya mikopo kwakuwa kozi za sayansi ni Ghali na bodi iliwakopesha 100%. Kamshahara kanabaki kiduchu na kazi/vipindi nivingi bora wangechange fani.
Namengine meeengi nachoka hata kuandika. Ivi nchi gani iliendelea Tena kiviwanda bila kuwekeza vema na kuiboresha Elimu?? Natamani serikali sikivu!!
 
Kiukwel nimesikitika sana baada ya kukuta mshahara wangu umepungua ukizingatia sisi walimu mishahara midogo makato mengi jumlisha mikopo yaani ni shida tupu. Hacha tuisome namba
Hiyo ndio inaitwa kupatwa kwa mshahara. Tutaelewa tuu
 
Back
Top Bottom