Nimekataliwa kisa........!


nimeiona hiyo avatar yako mkuu,imenitia hamu sana ya kuzisaka labda amani ya nafsi itapatikana,lakini hofu yangu itakuwa ni kwamba nanunua upendo
 
Akunyimae kunde anakupunguzia mashuzi. Achana nae utapata wako atakaekukubali. Maisha ni kupanda na kushuka, ndoa inataka kuvumiliana in the sense ya kuaccomodate each other. Tafuta hela umdolishie na sio kumnasa
una ushauri nzuri sana ubarikiwe
 
wanawake wa 21 century walishatangaza mapemaaaaa bila fedha no love
 
Maisha magumu haya ujue bora kakwambia ukweli kuliko angekukubalia af awe na wengne wa nje wenye pesa zao..
Ndo utafute kazi sasa nawe,ila kiukweli huyo hajakupenda wala nini ambae angekupenda asingekupa hayo makavu live namna hyo,angevumilia tu af bidae angekwambia in a polite wa.y
..
 
huyo hakupendi wewe... yeye anapenda utakachokua nacho!
cha muhimu muweke pending halafu tafuta kazi ukishapata tu ndo mfuate tena ila sio kwa kukaa bali kupita tu.
ili roho yako iridhike.
mapenzi yamepata transformation kubwa sana,hajaliwi mtu,inajaliwa pesa(material things)
 
nimeiona hiyo avatar yako mkuu,imenitia hamu sana ya kuzisaka labda amani ya nafsi itapatikana,lakini hofu yangu itakuwa ni kwamba nanunua upendo
Kwa huyo si utakua unanunua upendo bali utakua unanunua mchezo,maana she is not a wife material...mtoe kabsa katka mawazo yako
 
Kuishi na mwanaume asie na kazi shida sana,kwanza huwa hawajiamini,akiomba pesa huna unamnyanyasa,ukimpa unahongwa!
Kwa sababu yuko nyumbani tu kama kitasa mlangoni basi anaji keep busy kwa kuku track,kutwa uko wapi,mbona leo umechelewa,mbona siku hizi vikao vingi na manung'uniko yasokwisha!
Tafuta kazi bwana Mr Yes uwe busy hata kama kipato kitakuwa kidogo
 
Last edited by a moderator:
dont wory,,,1 day yes.............
 
Nenda kasome ule uzi wa wanawake ni wauzaji. Huyo anataka amuuzie k jamaa mwenye wallet nene.
 

Kazi na hela ni vitu vya kupita,unaweza kuwa na kazi na hela tena mamilion leo lakini kesho ukawa hauna kazi na hata sh mia hauna,pia unaweza ukawa huna kazi na hela leo lakn kesho ukapata kazi na mamilion ya hela,ni masuala ya muda tu!Cha msingi ni kuvumiliana,leo hana kazi lakini kesho anaweza kupata,au wewe leo una kazi lakini kesho unaweza kupoteza hiyo kazi!
 
Last edited by a moderator:
Kwa huyo si utakua unanunua upendo bali utakua unanunua mchezo,maana she is not a wife material...mtoe kabsa katka mawazo yako
muda mwingine yahitaji kujitoa muhanga tu,upendo ukizidi kwa mtu mayokeo yake ndio haya
 

nashukuru,na nimedhamiria kweli kuzisaka,na ninaamini nitazipata tu
 
Hakufai huyo tafuta anayeendana na wewe
Kusoma hujui hata kuangalia picha nako !
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…