Pole kijana sasa hivi hamna mapenzi kuna biashara na ndio maana mtu anaefika bei ndio anapata bidhaa.Wala usilalame maana kuna mwenzio nilikutana nae yeye amemsomesha chuo binti halafu binti kamuona kenge baada ya kumaliza .Ni jambo jema la kumshukuru mungu maana hujui kama huko mbeleni ingekuaje halafu ni wakati wa ww kutafuta pesa ukachukua bidhaa nzuri sokoni.
una ushauri nzuri sana ubarikiweAkunyimae kunde anakupunguzia mashuzi. Achana nae utapata wako atakaekukubali. Maisha ni kupanda na kushuka, ndoa inataka kuvumiliana in the sense ya kuaccomodate each other. Tafuta hela umdolishie na sio kumnasa
mapenzi yamepata transformation kubwa sana,hajaliwi mtu,inajaliwa pesa(material things)huyo hakupendi wewe... yeye anapenda utakachokua nacho!
cha muhimu muweke pending halafu tafuta kazi ukishapata tu ndo mfuate tena ila sio kwa kukaa bali kupita tu.
ili roho yako iridhike.
Kwa huyo si utakua unanunua upendo bali utakua unanunua mchezo,maana she is not a wife material...mtoe kabsa katka mawazo yakonimeiona hiyo avatar yako mkuu,imenitia hamu sana ya kuzisaka labda amani ya nafsi itapatikana,lakini hofu yangu itakuwa ni kwamba nanunua upendo
Kuishi na mwanaume asie na kazi shida sana,kwanza huwa hawajiamini,akiomba pesa huna unamnyanyasa,ukimpa unahongwa!Umenena vyema sister,mgekuwa kama kumi tu humu JF basi hata zile thread za sijui wote wanauza zisingekuwepo!Mahusiano mazuri na matamu ni yale ya kila mmoja kujitahidi kumfanyia mazuri mwenzie sio kutaka kufanyiwa mazuri na mwenzio!Kila mmoja atake na ajitahidi kila mara kumfurahisha mwenzie sio kutafuta furaha yake binafsi!.Big up sister,nitafute nikupe zawadi!
dont wory,,,1 day yes.............Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.
Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)
haya bhana,yasijeyakakukuta ya mushi huko mbeleni....take careni kweli ila kupenda ndiko kunakonitesa sababu nampenda kiukweli kabisa
wanawake wa 21 century walishatangaza mapemaaaaa bila fedha no love
lakini dada mapenzi si kuvumiliana katika hali zote,leo sina kesho nitakua nacho,na hakuna condition amabyo ni permanent
Kuishi na mwanaume asie na kazi shida sana,kwanza huwa hawajiamini,akiomba pesa huna unamnyanyasa,ukimpa unahongwa!
Kwa sababu yuko nyumbani tu kama kitasa mlangoni basi anaji keep busy kwa kuku track,kutwa uko wapi,mbona leo umechelewa,mbona siku hizi vikao vingi na manung'uniko yasokwisha!
Tafuta kazi bwana Mr Yes uwe busy hata kama kipato kitakuwa kidogo
Kuishi na mwanaume asie na kazi shida sana,kwanza huwa hawajiamini,akiomba pesa huna unamnyanyasa,ukimpa unahongwa!
Kwa sababu yuko nyumbani tu kama kitasa mlangoni basi anaji keep busy kwa kuku track,kutwa uko wapi,mbona leo umechelewa,mbona siku hizi vikao vingi na manung'uniko yasokwisha!
Tafuta kazi bwana Mr Yes uwe busy hata kama kipato kitakuwa kidogo