Achaneni na Juliana,huyo hawezi kujenga hoja. Anaandikiwa ndipo anaipost huku jukwaani. Sijawahi kumsikia hata akitoa hoja bungeni.
Huku anaandikiwa kisha kuanzisha uzi wake wa ajabu ajabu.
Anatumia kifaa gani kuandika
Achaneni na Juliana,huyo hawezi kujenga hoja. Anaandikiwa ndipo anaipost huku jukwaani. Sijawahi kumsikia hata akitoa hoja bungeni.
Huku anaandikiwa kisha kuanzisha uzi wake wa ajabu ajabu.
Nyani haoni kundule.. Anasahau mkia wake ni mrefu kulikoJuiana Shonza umezita posho za madiwai wa jiji la Arusha kuwa ni za kifisadi na umeonekana kuunga mkono uamuzi wa serikali za kuzifuta.
Sasa nikuulize wewe unaepokea sitting allowance pale Bungeni unajiona ndio uko sahihi?
Wewe unaelipwa perdiem na sitting allowance juu,unapata wapi uhalali wa kuita posho ya hao madiwani kuwa ni ya kifisadi?
Kama kwei unaguswa n
Wanatufanya watanzania wajinga!Mnafiki saan huyu dada,eti anjiita Mlokole.Ukishaingia kwenye siasa za ulaghai na chuki pamoja na ufitini kama za CCM huwezi kujigamba kwa ulokole.
Ilikuwa ni kuchagua moja,utajili katka roho au fahari ya maisha katika mwili.Umechagua lililo moja na hakika huko ndio mahali pako.
We utakuwa humfaham vizuri Juliana! Sisi tulishamzoea.Hii akaunti ya mtoa mada ipo hacked au?
Siyo kweli kabisa kuwa laki tatu na nusu ni ufisadi. Mbona wao wanalipwa mamilioni mbali na posho nyingine! Hiyo siasa haiwafikishi popote.! Arusha ni ya CHADEMA hata mfanyeje!Juiana Shonza umezita posho za madiwai wa jiji la Arusha kuwa ni za kifisadi na umeonekana kuunga mkono uamuzi wa serikali za kuzifuta.
Sasa nikuulize wewe unaepokea sitting allowance pale Bungeni unajiona ndio uko sahihi?
Wewe unaelipwa perdiem na sitting allowance juu,unapata wapi uhalali wa kuita posho ya hao madiwani kuwa ni ya kifisadi?
Kama kwei unaguswa na malipo ya aina hii, mbona hatukuoni ukichukua hatua za kupinga sitting allowance za wabunge hata kwa kupeleka hoja binafsi Bungeni kutaka posho hizo zifutwe?
Niwaambie tu kwenye posho CCM na wapinzani wote lenu ni moja tu tena bora hata wapinzani wakati mwingine huwa wako tayari ku-sacrifice posho zao kutetea maswala ya kitaifa kama tulivyoona kwenye Bunge la Katiba na majuzi katika kumpinga Naibu Spika.
Atajibu nini zaidi ya kuleta tu porojo hapa.Juliana Shonza njoo ujitutumue hapa.
Eti mtu humjui utawezaje kummwagia sifa usiyemjua!!In the honor of dictatorship! bootlickers enjoy the left overs of their masters at the amidst of severe hunger and famine!!
Na cha ajabu vijana hao hao wanaosifiwa kulelewa vizuri ndo waliouza Mali za chama kule iringa teh teh teh! Chama hiki hakiishi mikosiCCM bwaaaaaana LOWASA tu ndio fisadi kwao hapa tu ndio uwa nashindwa kuwaamini kabisa na sitaweza kuja kupiga kura kwa mtu yoyote wa CCM wala sitaweza kuja kujitolea kwa kitu chochote kwa CCM mana ntakuwa nafanya unafiki na mimi sio mnafiki majizi yamejaaa uko kama yule wa bariadi, wale wa ESCROW, chenji ya radar, nyumba za serikali, lugumi at least wangekuwa wanayataja na mengine kama wanavyomtaja LOWASA ningekuwa na imani ila wao fisadi lowasa wakati kuna wakina lowasa umo na zaidi ya lowasa kibao.
Wa kudadavua nakushauri ukadadavuzi kabisa ile katiba ili ikibidi tusipoteze pesa kwenye Demokrasia isiyotija wala kuheshimiwaHakika,umenena kweli.CCM bado itaedelea kutoa viongozi mbalimbali wa nchi hii kwa karne nyingi zijazo...na hata kwa upande wa upinzani wataendelea kupata wagpmbea wa nafasi mbalimbali kuanzia mashinani hadi uraisi kutoka CCM...hili halina ubishi.