Nimekataa kumpongeza Mrisho Gambo

Nimekataa kumpongeza Mrisho Gambo

Gambo n jembe..CCm inakuza vijana shupavu while side B wanawalea wazee walichoka kifikraa
 
Kwa sifa hizo ni dhahiri sasa kuwa tatizo la UFISADI NA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA Chuo cha Ufundi Arusha litapata suluhisho.

Kelele zilipigwa sana Chuo cha Uhasibu Arusha, hatua zikachukuliwa Mkuu wa Chuo Prof. Monyo akaondolewa. Kelele za aina hiyohiyo zikapigwa sana Chuo cha Nelson Mandela Arusha, Mkuu wa Chuo Prof. Mwamila akaamua kujiuzulu. Kelele za aina hiyohiyo zimepigwa na zinaendelea kupigwa sana Chuo cha Ufundi Arusha, ili hatua kama zilizochukuliwa katika vyuo nilivyovitaja ziweze kuchukuliwa.

Chuo cha Ufundi Arusha kinakabiliwa na Ufisadi na Matumizi mabaya ya ofisi unaoelezewa kuwa zaidi sana ikilinganishwa na uliolalamikiwa katika vyuo nilivyovitaja. Lakini waliofanya ufisadi Chuo cha Ufundi Arusha bado wako ofisini wakiendelea na ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka kama kawaida yao walivyozoea. Wakubwa wa chuo hiki hawana hofu wala hawajali kama hali ya kiuongozi wa Nchi imeshabadilika na Ufisadi unapigwa vita kila mahali. Ni wakati sasa wa kila anayechukia ufisadi kumsaidia Mh. Raisi Magufuli kuondokana na janga hili.

Pengine Mteule Gambo atalisikia na kuchukua hatua zinazostahili
Huko alikotoka aliweza kukomesha ulichokisema?
 
Na cha ajabu vijana hao hao wanaosifiwa kulelewa vizuri ndo waliouza Mali za chama kule iringa teh teh teh! Chama hiki hakiishi mikosi
Kuuza Tanzania yetu ndilo jambo kubwa zaidi ya kuuza lichama la majambazi
 
Oneni majibu ya wana UKUTA! Eti haya wanayo jibu hapa ndio mawazo yao mbadala wa ccm.
 
Hueleweki,Mara unaipongeza CCM na UVCCM ,Mara unampongeza Mungu!
Hujui kwamba Mungu Mwenyezi hajangamishwi na siasa ? Mungu aapenda wema,Upendo na haki.
CCM mnapenda siasa,ghasia na dhulma ambazo ni chukizo kwa Mungu
 
Kwa wasifu huo wa Gambo sidhani kama atadumu sana kwenye awamu hii..yaani kumbe yeye ni KIBURI
 
Jamaa unasema utalii unadorora, biashara zinakufa, mahoteli yanafungwa arusha kwa sababu za kipuuzi na upuuzi wa mtu/kikundi cha watu uko sahihi sana

Je? Ni sababu gani za kipuuzi zimepelekea sekta utalii kufa tanzania nzima, mahoteli kugeuzwa mabweni ya wanachuo, biashara kuyumba.

Zikifanyika arusha ni sababu za kipuuzi vp! Zikifanyika nchi nzima zinageuka za maana ama bado ni upuuzi
 
Hivi huyo ndugu ' jasiri' ameshindwa kweli kumpinga rais kwa kukataza siasa na maandamano ilihali ni vitu vilivyopo kwenye katiba?
 
Juliana amenena yake...kwanini ashambuliwe? Hatuna ukomavu na uvumilivu wa kisiasa.
 
Juliana mnafiki sana... ur common nosense is leading you to a very confused person, of which you don't know even urself... hadi unachoandika hujui vizuri...!!

Unajichanganyaaa kama mlevi..

1: Eti humjui vizuri... meanwhile unamuelezea in details na kumsifia in details..

2: Hapo ukakosea again ktk title... eti umekataa kumsifia.. Gambo.. unajua umeandika nn..? Umemsifia sana kwa umakini, ujasiri, sio muoga.. sijui nn na nn..

Stop seeing everybody is of ur lowest IQ...
 
Unawezaje kumfananisha huyo Gambo na Yusuph aliyeandikwa kwenye Bible..!
Halafu UVCCM ilivyooza leo hii eti inazalisha wapambanaji wa ufisadi, hao wote uvccm ni wapigaji waganga njaa tu!
Hivi majuzi tu wamepata kashfa kubwa tu ya ufisadi,
Ufisadi wote uliopo hapa nchini na matunda ya ccm na ndiyo iliyoharibu hii nchi na bado inaendelea kuharibu!!!
 
Kosa kubwa waliofanya Chadema na nimeshwagharibu ni kuchukua mabaki ya ccm au makapi ya ccm, Big Up JPM, WACHUMIA TUMBO HAWANA LAO TENA
 
hivi huyu binti hana kazi nyingine zaidi ya kumsema Lowassa,3.hivi akiambiwa athibitishe Lowassa ni fisadi ataweza 3. hivi huyu binti ana ushahidi kuwa uchumi wa Arusha unakufa, biashara zimesimama, mahoteli yanafungwa kwa sababu za KIPUUZU,

hivi huyu binti analipiza kisasi cha kutimuliwa CDM mbona kama ndio hivyo atakufa na kihoro,bado anataja jina lililo kuu wakati anatunza bifu na fitina ndani ya mioyo wake,kweli kheri wenye moyo safi.......,na sio kila atajaye bwana,bwana,ataurithi ufalme wake ilani yule atajaye na kutenda.

Anapata wapi ujasiri wa kusemea vijana wote hivi ikitokea kijana akavurunda atatkuja kuomba msamaha,dah nahisi Mheshimiwa mzee wa vunjo ana wajukuu wengi na huyu ni mmojawapo.

Time will tell,bob Marley aliwahi sema
 
Back
Top Bottom