Uko nje ya mada na unauliza maswali ya kipuuzi kwa kuwa wewe ni kilaz, siwezi kuhangaika na wewe.Hivi kule bavicha Katibu mkuu alimtwanga makonde naibu wake wakigombania mgawo wapesa
Uko nje ya mada na unauliza maswali ya kipuuzi kwa kuwa wewe ni kilaz, siwezi kuhangaika na wewe.Hivi kule bavicha Katibu mkuu alimtwanga makonde naibu wake wakigombania mgawo wapesa
Hilo la kuwa graduate wala lisikupe shida, awamu zilizopita zilikuwa nz vilaa wengi sana gradute kuliko wahitimu wa class seven, shonza ni mmoja wa vilaza.Halafu eti ni University graduate. Shame on her. Shame on you Juliana Shonza.
Alipokuwa cdm alikuwa graduet sasa siyo eee?Hilo la kuwa graduate wala lisikupe shida, awamu zilizopita zilikuwa nz vilaa wengi sana gradute kuliko wahitimu wa class seven, shonza ni mmoja wa ******.
MTU akiwa ccm anakuwa shetani hivi Lowassa alitoka chama gani vile mbona yeye malaika?Hilo la kuwa graduate wala lisikupe shida, awamu zilizopita zilikuwa nz vilaa wengi sana gradute kuliko wahitimu wa class seven, shonza ni mmoja wa ******.
Mbona wewe huna akili ya kuelewa? Unajua maana ya ku quote hoja ya mtu wewe? Hapo kwenye comment yangu neno SHETANI liko wapi? Jamaa mimi huwa sijadiliani na vilaza naona kila mara una ni quote kwa mambo yaliyo nje ya mada. Nenda kwenye vijiwe vingine siasa ina hitaji wenye akili timamu.MTU akiwa ccm anakuwa shetani hivi Lowassa alitoka chama gani vile mbona yeye malaika?
Kilaza katika ubora wako, alikuwa na sasa bado ni gradute ila ni kati ya wale wasio na sifa hizo, bali waliingia kwa bahati mbaya., halafu ukini quote hakikisha uko na hoja yenye mashiko. Kama mwalimu wako alishindwa ukiwa mbichi leo mkavu ndio ujilazimishe mimi nikuelimishe?! Haiwezekani.Alipokuwa cdm alikuwa graduet sasa siyo eee?
Hahahaha sasa mbona wewe ndiyo unaleta hoja za kibaguzi aisee kuwa kilaza mbaya sana wallahi cdm****** katika ubora wako, alikuwa na sasa bado ni gradute ila ni kati ya wale wasio na sifa hizo, bali waliingia kwa bahati mbaya., halafu ukini quote hakikisha uko na hoja yenye mashiko. Kama mwalimu wako alishindwa ukiwa mbichi leo mkavu ndio ujilazimishe mimi nikuelimishe?! Haiwezekani.
Juliana Shonza njoo ujitutumue hapa.
Nadhani hapa ndio ulipopatia u Naibu waziri ambao kwa bahati mbaya unamuangusha aliyekuteua na kuaibisha vijana wenzako kwani umekuwa mzigo, usiye ubunifu na maringo na mbwembwe zisizo tija.Nimekataa kumpongeza GAMBO lakini nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipomshukuru na kumpongeza Mhe John Pombe Magufuli kwa kuendelea kuwaamini vijana na kuwapa nafasi, hakika mimi nachukua ahadi kwako kwa niaba yao kuwa HATUTOKUANGUSHA.
Mkuu ili chimbo uliloliibua ni hatariDiamond
Mkuu maneno yako ni sahihiNadhani hapa ndio ulipopatia u Naibu waziri ambao kwa bahati mbaya unamuangusha aliyekuteua na kuaibisha vijana wenzako kwani umekuwa mzigo, usiye ubunifu na maringo na mbwembwe zisizo tija.
Hakuna mwana ssm anaye aminika.ni hulka yao,wavumilie.Mtu humfahamu vizuri halafu misifa kibao.shamenasikitika kuona mbunge mzima una akili kama ya mtoto wa chekechea.
Sasa wewe mwenyewe umeshasema humjui vizuri alafu unammwagia sifa kibao na kumwamini kabisa ukksema hatakuangusha.
Hii imekaaje sasa![]()