Nimekata tamaa ya maisha

Nimekata tamaa ya maisha

Nimekata tamaa ndoa inatesa sana.

Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.

Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Pole
 
Nimekata tamaa ndoa inatesa sana.

Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.

Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Je unaendeleaje?
Mara ya mwisho umeonekana humu Ijumaa 09:40 pm.
Natamani kusikia Mungu alikufanyia wepesi, ulijifingua salama, na nyakati ngumu zimepita
 
Je unaendeleaje?
Mara ya mwisho umeonekana humu Ijumaa 09:40 pm.
Natamani kusikia Mungu alikufanyia wepesi, ulijifingua salama, na nyakati ngumu zimepita
Asante sana nilijifungua salama nilipambana mpaka lastweek niligundua kumbe mr anatoka na jiran yangu ndio kunitesa siku zote hizo
 
Nimekata tamaa ndoa inatesa sana.

Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.

Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Pole sana
 
Nimekata tamaa ndoa inatesa sana.

Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.

Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Usifanye hivyo mkuu. Yatapita usijiue... Kumbuka si wewe pekee sema smiles zinaficha mengi.
Kuna mdada anafanya kwenye kampuni ya mikopo kajiua last three weeks kaacha watoto watatu mmoja mdogo kisa mikopo.
 
Nimekata tamaa ndoa inatesa sana.

Nyumbani hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.

Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8. Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka?
Kuna mama amejiua pale Kilimanjaro,yeye pamoja na wanae mwezi uliopita,...Rest in Peace dada ulipambana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom