Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

Habari wana janvi.

Mimi ni msichana nina miaka 27, kiukweli nimekata tamaa ya kuolewa. Kwa sababu wenzangu wote wameolewa.

Na mchumba niliyekuwa namtegemea kuwa mume wangu. Ndo huyo hayupo tayari hata kutambulishana hata kwao tu.

Kuna mda najuta kwanini nilianzia uhusiano nae. Maana ni mwanamke nliekuwa mwaminifu kwake sana. Na sijafikiriaga hata kuwa na mchepuko kutokana na kujiheshimu kwangu.

Lakini nimekata tamaa simuoni muoaji hapa. Naumia sana moyoni kama kuna mtu ambae alipitia hili au anapitia hili nadhani atakuwa anajua maumivu ninayopata. Kila nikifikiria sina tabia za ajabu.

Najishangaa mwenyewe. Mpaka nawaza labda nami ningekuwa ni mwanamke ambae hajatulia ningeshaolewa? Kwa sababu wale wenzangu walikuwa hawajatulia hata kidogo lakini wameolewa.Naumia sana. Ee Mungu nisaidie. Au nawaza kuna kitu gani labda nimefanyiwa?

Mawazo yenu fafadhali, angalau yatanitia moyo.

Japo kuna mengine yataniumiza bila kujali moyo wangu.
Miaka 27 michache sana japo ulistahili kuwa ushaolewa kitambo, mm wife wangu nimemuoa akiwa na miaka 24 kwenda 25 namm nikiwa 30 so naamini hujachelewa sana, wanaostahili kulalama niwale wenye 40 na bado wanaishi kwa wazazi na hawana hata watoto wa kusingiziwa!

Ila kitu kingine kwa wanaume wa siku hizi si waoaji walio wengi ukijumlisha na hali ya Anco Magu ndugu unaweza isoma pia ndoa kwenye mitandao! Ndo maana mm huwa nawahusudu wale mabinti wanao date na waume za watu kuliko kudate na mtu asiye na mke anaishia kukula tu na kuoa ataoa kwingine, so unapodate na mume wa mtu unajua fika huyo si wako na akitokea asiye mume wa mtu nikumbania tu pasipo kumpanulia mwishowe atakuona wa maana na jasiri na mtulivu faster ataenda kujitambulisha na kutoa mahali, cha msingi vumilia usitoe papuchi kwa mtu mtu ambaye hajakuoa toa utakapooa vinginevyo utajikuta umetengeneza foleni ndeeeefu ya waonjaji!
 
Miaka 27 michache sana japo ulistahili kuwa ushaolewa kitambo, mm wife wangu nimemuoa akiwa na miaka 24 kwenda 25 namm nikiwa 30 so naamini hujachelewa sana, wanaostahili kulalama niwale wenye 40 na bado wanaishi kwa wazazi na hawana hata watoto wa kusingiziwa!

Ila kitu kingine kwa wanaume wa siku hizi si waoaji walio wengi ukijumlisha na hali ya Anco Magu ndugu unaweza isoma pia ndoa kwenye mitandao! Ndo maana mm huwa nawahusudu wale mabinti wanao date na waume za watu kuliko kudate na mtu asiye na mke anaishia kukula tu na kuoa ataoa kwingine, so unapodate na mume wa mtu unajua fika huyo si wako na akitokea asiye mume wa mtu nikumbania tu pasipo kumpanulia mwishowe atakuona wa maana na jasiri na mtulivu faster ataenda kujitambulisha na kutoa mahali, cha msingi vumilia usitoe papuchi kwa mtu mtu ambaye hajakuoa toa utakapooa vinginevyo utajikuta umetengeneza foleni ndeeeefu ya waonjaji!
Asee
 
Habari wana janvi.

Mimi ni msichana nina miaka 27, kiukweli nimekata tamaa ya kuolewa. Kwa sababu wenzangu wote wameolewa.

Na mchumba niliyekuwa namtegemea kuwa mume wangu. Ndo huyo hayupo tayari hata kutambulishana hata kwao tu.

Kuna mda najuta kwanini nilianzia uhusiano nae. Maana ni mwanamke nliekuwa mwaminifu kwake sana. Na sijafikiriaga hata kuwa na mchepuko kutokana na kujiheshimu kwangu.

Lakini nimekata tamaa simuoni muoaji hapa. Naumia sana moyoni kama kuna mtu ambae alipitia hili au anapitia hili nadhani atakuwa anajua maumivu ninayopata. Kila nikifikiria sina tabia za ajabu.

Najishangaa mwenyewe. Mpaka nawaza labda nami ningekuwa ni mwanamke ambae hajatulia ningeshaolewa? Kwa sababu wale wenzangu walikuwa hawajatulia hata kidogo lakini wameolewa.Naumia sana. Ee Mungu nisaidie. Au nawaza kuna kitu gani labda nimefanyiwa?

Mawazo yenu fafadhali, angalau yatanitia moyo.

Japo kuna mengine yataniumiza bila kujali moyo wangu.
Vumilia mda bado na kwa sababu umetulia Mungu anakutafutia aliyetulia!!!.
 
Ni kweli muda unaenda sana....cha msingi tulia kwanza....achana na kiwa na mahusiano walau mwaka mmoja na set objectives zako....then akitokea mtu dont be easy on him sababu ya kuangalia muda....angalia kama ni gentleman na anafocus nini ....
Utapata wako soon ukiset objectives zako....usiwaze wala kulia
 
Usikate kuna watu wameolewa Na miaka 47, we mtoto mdogo unalalamika. Kuwa mwaminifu mbele za Mungu so kwa mwanadamu. Usiwaonee wivu wenzako shetani atakushikilia hapo.
 
Kama kungekuwa na kukata tamaa mimi sijui ningesema nini, dear don't look at your age as the reason for you to get married, don't compare your self with your friends who are now married since you were born at different times, places and wombs.

Be expensive, don't take any Harry or Jones who comes just because you want to get married, set up your personal goals to achieve, can be building a house or go for a second masters what ever, love your self, treat your self with nice things that you can afford and last be prayerful.
Well said
 
Habari wana janvi.

Mimi ni msichana nina miaka 27, kiukweli nimekata tamaa ya kuolewa. Kwa sababu wenzangu wote wameolewa.

Na mchumba niliyekuwa namtegemea kuwa mume wangu. Ndo huyo hayupo tayari hata kutambulishana hata kwao tu.

Kuna mda najuta kwanini nilianzia uhusiano nae. Maana ni mwanamke nliekuwa mwaminifu kwake sana. Na sijafikiriaga hata kuwa na mchepuko kutokana na kujiheshimu kwangu.

Lakini nimekata tamaa simuoni muoaji hapa. Naumia sana moyoni kama kuna mtu ambae alipitia hili au anapitia hili nadhani atakuwa anajua maumivu ninayopata. Kila nikifikiria sina tabia za ajabu.

Najishangaa mwenyewe. Mpaka nawaza labda nami ningekuwa ni mwanamke ambae hajatulia ningeshaolewa? Kwa sababu wale wenzangu walikuwa hawajatulia hata kidogo lakini wameolewa.Naumia sana. Ee Mungu nisaidie. Au nawaza kuna kitu gani labda nimefanyiwa?

Mawazo yenu fafadhali, angalau yatanitia moyo.

Japo kuna mengine yataniumiza bila kujali moyo wangu.
Jamnnnnnn
 
Bado mdogo sana dada (27 sio kitu)....Tulia kama mwanzo,..ukikurupuka utapata mwanaume na mtakua "bibi na bwana" na sio " mume na mke"
 
Kila jambo na wakati wake, usilazimishe usijempata kanjanja akakupa mapenzi ya mwendokasi'
 
Habari wana janvi.

Mimi ni msichana nina miaka 27, kiukweli nimekata tamaa ya kuolewa. Kwa sababu wenzangu wote wameolewa.

Na mchumba niliyekuwa namtegemea kuwa mume wangu. Ndo huyo hayupo tayari hata kutambulishana hata kwao tu.

Kuna mda najuta kwanini nilianzia uhusiano nae. Maana ni mwanamke nliekuwa mwaminifu kwake sana. Na sijafikiriaga hata kuwa na mchepuko kutokana na kujiheshimu kwangu.

Lakini nimekata tamaa simuoni muoaji hapa. Naumia sana moyoni kama kuna mtu ambae alipitia hili au anapitia hili nadhani atakuwa anajua maumivu ninayopata. Kila nikifikiria sina tabia za ajabu.

Najishangaa mwenyewe. Mpaka nawaza labda nami ningekuwa ni mwanamke ambae hajatulia ningeshaolewa? Kwa sababu wale wenzangu walikuwa hawajatulia hata kidogo lakini wameolewa.Naumia sana. Ee Mungu nisaidie. Au nawaza kuna kitu gani labda nimefanyiwa?

Mawazo yenu fafadhali, angalau yatanitia moyo.

Japo kuna mengine yataniumiza bila kujali moyo wangu.
Mi nilioa mwanamke mwenye 30 yrs na wkt huo nilikuwa 31 na hatukukaa uchumba zaidi ya mwaka na hadi leo sijajutia kumuoa. Muda bado usiwe na haraka
 
Back
Top Bottom