My god win
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 361
- 239
Habari wana janvi.
Mimi ni msichana nina miaka 27, kiukweli nimekata tamaa ya kuolewa. Kwa sababu wenzangu wote wameolewa.
Na mchumba niliyekuwa namtegemea kuwa mume wangu. Ndo huyo hayupo tayari hata kutambulishana hata kwao tu.
Kuna mda najuta kwanini nilianzia uhusiano nae. Maana ni mwanamke nliekuwa mwaminifu kwake sana. Na sijafikiriaga hata kuwa na mchepuko kutokana na kujiheshimu kwangu.
Lakini nimekata tamaa simuoni muoaji hapa. Naumia sana moyoni kama kuna mtu ambae alipitia hili au anapitia hili nadhani atakuwa anajua maumivu ninayopata. Kila nikifikiria sina tabia za ajabu.
Najishangaa mwenyewe. Mpaka nawaza labda nami ningekuwa ni mwanamke ambae hajatulia ningeshaolewa? Kwa sababu wale wenzangu walikuwa hawajatulia hata kidogo lakini wameolewa.Naumia sana. Ee Mungu nisaidie. Au nawaza kuna kitu gani labda nimefanyiwa?
Mawazo yenu fafadhali, angalau yatanitia moyo.
Japo kuna mengine yataniumiza bila kujali moyo wangu.
Mimi ni msichana nina miaka 27, kiukweli nimekata tamaa ya kuolewa. Kwa sababu wenzangu wote wameolewa.
Na mchumba niliyekuwa namtegemea kuwa mume wangu. Ndo huyo hayupo tayari hata kutambulishana hata kwao tu.
Kuna mda najuta kwanini nilianzia uhusiano nae. Maana ni mwanamke nliekuwa mwaminifu kwake sana. Na sijafikiriaga hata kuwa na mchepuko kutokana na kujiheshimu kwangu.
Lakini nimekata tamaa simuoni muoaji hapa. Naumia sana moyoni kama kuna mtu ambae alipitia hili au anapitia hili nadhani atakuwa anajua maumivu ninayopata. Kila nikifikiria sina tabia za ajabu.
Najishangaa mwenyewe. Mpaka nawaza labda nami ningekuwa ni mwanamke ambae hajatulia ningeshaolewa? Kwa sababu wale wenzangu walikuwa hawajatulia hata kidogo lakini wameolewa.Naumia sana. Ee Mungu nisaidie. Au nawaza kuna kitu gani labda nimefanyiwa?
Mawazo yenu fafadhali, angalau yatanitia moyo.
Japo kuna mengine yataniumiza bila kujali moyo wangu.