Nimekata tamaa ya kuendelea kuishi

Nimekata tamaa ya kuendelea kuishi

Usifike huko ndugu!!

Mimi nilitamani kufa mwaka fulani kutokana na mlundikano wa stress usiokoma tangu nikiwa mdogo.

Nilifikia hatua ya kutoboa tundu kwenye dari kwa lengo la kufunga kamba ikiwa ni hatua ya kujiandaa kujitundika lakini baada ya kutafakari kwa kina na kugundua kwamba hakuna asiepitia changamoto duniani niliona ningemkosea Mungu kukatisha uhai wangu, nilijipa moyo na kuendeleza mapambano.

Huwezi amini kutoka kukata tamaa na kuwa tumaini hata kwa waliokata tamaa;- leo hii nina elimu, nina kazi, mke, watoto wawili na nimesaidia ndugu zangu wengi kufikia malengo yao.

Kinachonisumbua kutekelezea tukio la kujiondoa uhai nikiiona ile nyumba huwa nakumbuka mbali sana.

Hata wewe unayo nafasi ya kuendelea kuishi na kufanya makubwa zaidi, usijiue Mungu bado ana jambo na wewe. .
asante ndugu yangu kwa kunitia nguvu,yaani nimeamua nikipata 120000 nilipe kodi halafu niiache familia nikalime vibarua kijijni wakati najipanga upya
 
Majaribu makubwa Ushindi mkubwa mbele.

Komaaaaaaaaa huyo ni shetani anakuonea wivu anajua baraka za Mungu zilizopo mbele ni kubwa mno anakukatisha tamaa.
 
Jipe moyo utashinda majaribu yako yote, nimejifunza kitu, unapokutana na changamoto ngumu maishani, jitahidi kuwa na imani kuu ya kumwamini Mungu kuwa atakuvusha ktk hiyo changamoto, jitahidi uwe na mawazo chanya utashinda mapito yako
 
Hata nashindwa nianzie wapi! Kila nachojaribu naishia kuharibu, madeni kila kona. Linaisha hili linaibuka hili,huku watoto wagonjwa, kule mwenye nyumba hataki maelezo anadai pesa yake. Sehemu yangu ya kazi nayo wameuziwa wawekezaji wa kichina. Kwa kifupi sana nahitaji kufa.
Pole sana, mkuu nakuomba kwanza ondoa wazo la kutaka kufa. Fikiria , je ukifa wewe utakuwa umetatua matatizo uliyonayo wewe na familia yako? Au utakuwa tu ni ubinafsi wako bila kuwajali wanafamilia yako? Mitihani kama hiyo wameumbiwa binadamu, kinachotakiwa ni kujaribu kufikiria njia mbali mbali za muda mfupi na mrefu kujitoa kwenye hiyo changamoto, tuanzie hapo ndugu yangu.
 
Yani kumbe tupo wengi.Mkuu haupo peke yako,songa mbele taratibu utafika na ku solve matatizo na changamoto zote
 
uza figo moja bro........achana na habari za kifo.....utapata mtaji mzuri tuu.....ukibaki na moja zingatia ushauri wa daktari utadunda mnoooo...
 
We jamaa mbinafsi Sana
Yaani hata huwazi kuwa ukifa hao wanaokutegemea utawaachaje
 
Hata nashindwa nianzie wapi! Kila nachojaribu naishia kuharibu, madeni kila kona. Linaisha hili linaibuka hili,huku watoto wagonjwa, kule mwenye nyumba hataki maelezo anadai pesa yake. Sehemu yangu ya kazi nayo wameuziwa wawekezaji wa kichina. Kwa kifupi sana nahitaji kufa.
Pambana ndugu yangu ndivyo ilivyo
 
Mkuu !unadhani ukiwa na fedha,huna madeni,una nyumba na gari pamoja na biashara ndio utakua na furaha????Mimi ninavyo karibu vyote isipokua gari tu!!Lakini sikumbuki nyakati zangu za furaha ni lini hasa!!!SINA FURAHA NA MAISHA KWA SABABU SIKUPATA KILE HASA NILICHOKUA NAKITAKA MAISHANI!!!MUNGU ANATESA SANA WATU WAKE TENA WOTE!HAKUNA RIDHIKO MAISHANI!!!
 
Mkuu !unadhani ukiwa na fedha,huna madeni,una nyumba na gari pamoja na biashara ndio utakua na furaha????Mimi ninavyo karibu vyote isipokua gari tu!!Lakini sikumbuki nyakati zangu za furaha ni lini hasa!!!SINA FURAHA NA MAISHA KWA SABABU SIKUPATA KILE HASA NILICHOKUA NAKITAKA MAISHANI!!!MUNGU ANATESA SANA WATU WAKE TENA WOTE!HAKUNA RIDHIKO MAISHANI!!!
Mtoto au!?
 
Hata nashindwa nianzie wapi! Kila nachojaribu naishia kuharibu, madeni kila kona. Linaisha hili linaibuka hili,huku watoto wagonjwa, kule mwenye nyumba hataki maelezo anadai pesa yake. Sehemu yangu ya kazi nayo wameuziwa wawekezaji wa kichina. Kwa kifupi sana nahitaji kufa.
Wote tunapitia kama Una asset yoyote uza fasta hata Kwa hasara MUNGU atakupigania.
 
Hata nashindwa nianzie wapi! Kila nachojaribu naishia kuharibu, madeni kila kona. Linaisha hili linaibuka hili,huku watoto wagonjwa, kule mwenye nyumba hataki maelezo anadai pesa yake. Sehemu yangu ya kazi nayo wameuziwa wawekezaji wa kichina. Kwa kifupi sana nahitaji kufa.
God has purpose in you. Take the challenges as good teachers, learn and grow again. Those who die never come back on earth, and still they leave away dependants suffering problems. God is great and will raise you again, go on prayers please and see to meet God of your blessings there.
 
Usikate tamaa Mungu bado anakupenda uwepo katika dunia hii.
Changamoto ya pesa ni ya muda tu.
 
Back
Top Bottom