anasahau kwamba kuna watu ni matajiri, watoto wao wanasoma shule nzuri, wana nyumba nzuri, magari mazuri, lakini hawana afya hiyo ambayo yeye anayo. uzima aliokupa Mungu ni zawadi ya kwanza na tunao wajibu kuulinda (ndio maana tunatunza miili kwa kula, kuivalisha, kuipeleka hospital etc ili iendelee kuishi ni wajibu Mungu ametupatia kwa neema tu angewapa wengine na kuna wengien amewanyima zawadi ya uhai). pia, watoto ni zawadi toka kwa Mungu, na tunao wajibu kuwatunza na kuwalea, ukiji-delete wajibu wa kulea watoto unawmachia nani, hata huko unakoenda ukiulizwa utasejaje, na mateso watakayopata watoto wako yana sababu yeyote ya msingi?
Ni jana tu nimetoka kusoma kitabu kinaelezea kwa nini japan kuna idadi kubwa ya wahanga wakutoa uhai wao.
Kule wanatoa uhai wao wakiamin hata akifa bima ya maisha itatoa fidia kwa familia kama wanafincial crisis.
Lakini pia hawaamini katika dini hizi wao wanajua ukifa umekufa, na ndio anachoelekea mtoa mada
hana imani katika lakini dini sio mbaya kuwa na imani katika Mungu ukiamin katika Mungu huwezi fikria kutoa uhai wako.
Pia haya maamzi niya kukurupuka tu.
kitu kimoja tu nacho kipenda kwenye dini ni kufundisha msamaha jisamehe na wasamehe wengine kama unadhani
ndio source ya matatizo yako.
Miaka mingi iliyo pita tulikuwa tukisoma na mwanafunnzi mwenzetu kidato cha tatu
huyo mtu alikuwa akipitia changamoto flani ambazo zilimpelekea kuacha shule
baada ya mda kidogo kupita tuliskia ametoa uhai wake kufuatilia sababu ni changamot flani
ambazo hata mimi nilikuwa nikipitia but approach yake ikawa ni kutoa uhai wake mimi nilichukua approach nyingine na bado
maisha yanaendelea nahiyo changamoto imekuwa history.
kwa tatizo moja kuna approach nyingi hiyo ya kutoa uhai sio approach sahih.
chagua approach sahihi ambayo unaona inafaida pana kwako na wapendwa wako.
Hizo changamoto wewe sio wa kwanza kupitia .