MZEE WA USSOKE
Senior Member
- Dec 21, 2012
- 120
- 42
Wapambanaji huwa hawakati tamaa,kama unakata tamaa mapema hivi,,hufai kuwa mpambanaji
Ukichoka ondoka.
.kwani wewe ni mzee?
Si uanze kuweka wewe hilo zuio?
Mbinu pekee tuliyobaki nayo sasa hivi ni kurusha Chopa na kusingizia daftari la wapiga kura.Hatuna mbinu mpya! Imefika mahala sioni jipya mbele yangu,mimi na wanangu sasa tumepoteza matumaini juu ya Chama chetu.Ushindi sasa kwetu mwiko!
Inakera sana!
Chaga development manifesto (chadema) at work.
Our slogan Chopa tatu kata tatu
Our padre ( dr. Slaa) mnywa gongo.
Mwenyekiti wetu ( mbowe) xdeejay mkata kiuno
Mungu mbariki lema ( godbless lema) mliwa kabaang.
wanaoishabikia chadema hawana akili timamu
Akili timamu huja kwa kula mifupa ya MIGEBUKA
Wabunge 40 walienea kwenye chopa hote usiku na kisepa kalenga?
jamani mimi nauliza tu, hivi zile ahadi za mheshimiwa 'ametelekeza' na 'ametekeleza' ngapi???zile alizojinadi nazo mwaka 2010??
'' no easy walk to freedom''mbinu pekee tuliyobaki nayo sasa hivi ni kurusha chopa na kusingizia daftari la wapiga kura.hatuna mbinu mpya! Imefika mahala sioni jipya mbele yangu,mimi na wanangu sasa tumepoteza matumaini juu ya chama chetu.ushindi sasa kwetu mwiko!
Inakera sana!
Mkuu huna hata aibu, siku nyingine usirudie kuandika haya.n.k
- katiba mpya
- serikali ya umoja zanzibar
- vyuo vikuu , dodoma n.k
- huduma za afya muhimbilia ,nk
- bandari inaongoza
- barabara km 64,000
- vivvuko
- mwendo kasi barabara
- treni za jiji , ubungo -posta, tazara-chanika
- maji dar es salaam , mradi mkubwa
- ajira - boda boda, kilimo kwa kutoa pembejeo ndo maana maghala ya taifa yamefulika vyakula
- mradi wa gesi- ufumbuzi wa umeme unakamilika
- viwanda( cement, vinyaji, nondo, jypsum.nk
- mikopo vyuo vikuu 60,000 wanafunzi vyuo vikuu
- ujenzi wa shule 8000 za kata .
vipi ATC uzinduzi lini Dar?Mbinu pekee tuliyobaki nayo sasa hivi ni kurusha Chopa na kusingizia daftari la wapiga kura.Hatuna mbinu mpya! Imefika mahala sioni jipya mbele yangu,mimi na wanangu sasa tumepoteza matumaini juu ya Chama chetu.Ushindi sasa kwetu mwiko!
Inakera sana!
wanaoishabikia chadema hawana akili timamu