Nimekata tamaa na CHADEMA!

Nimekata tamaa na CHADEMA!

Pumzika kwa amani kamanda na pole kwa kuchagua chama kilichoasisiwa kwa maslahi ya mtu (kundi) binafsi.Ninachokuhakikishia ni kuwa Chadema haitobadilika milele bora urejee katika chama kinachoamini katika umoja na maendeleo na kuthamini utu wa kila mtanzania CCM.
 
Pumzika kwa amani kamanda na pole kwa kuchagua chama kilichoasisiwa kwa maslahi ya mtu (kundi) binafsi.Ninachokuhakikishia ni kuwa Chadema haitobadilika milele bora urejee katika chama kinachoamini katika umoja na maendeleo na kuthamini utu wa kila mtanzania CCM.

CCM=chama cha majizi
 
nenda mwanakwenda. wasalimie uendako. Waambier kwamba huku umewaacha wahaCHADEMA wavumilivu na wang'ang'anizi wakubwa wa hoja za maendeleo. waambie huku kuna wanaCHADEMA ambao hata wakatishwe tamaa vipi bado wanasonga mbele.
Waambie pia kwamba huku umeaacha watu wanaoamini kwamba walke waliokatishwa tamaa wanatakiwa warudi nyuma na wale walioamua kuwa hawatarudi nyuma wanasonga mbele bila kudanganyika wala kuvunjika moyo.
 
Watakuja akina yeriko kukuambia kuwa chadema haikusanyi kodi wee subiria majibu mepesi kwa hoja mzito
 
chadema imekuwa kama simba aliyejeruhiwa, anatamani kutafuna kwa kasi ya ajabu kila kinachokatiza mbele yake. fukuza fukuza, uzushi mwingi, matukio ya uuwaji na umwagaji damu na uhalifu na kila aina ya uhuni usiovumilika katika jamii. nakupongeza kwa uamuzi sahihi ewe mleta mada
 
Heshima kwenu wakuu.
kwa nitakaowaudhi waniwie radhi.
_Mimi ni mwanachama wa chadema na nina kadi hai kabisa ninafurahiswa na viongozi wa chadema wakiwemo wabunge na madiwani majukwaani tu na si kwenye maendeleo...
kwa muktadha huo hata hili jukwaa la siasa nilikuwa mchagiaji mzuri sana kwa kuitetea chadema ndio sasa nikaamua leo niwaage rasimi hapa kwa kuwa ccm siwapendi na chadema siipendi ila nitabaki na kadi yangu hadi hapo watakapokuja viongozi watakaoleta maendeleo.
kama alivyokwishatuahidi. Dr.W.Slaa wakati anamnadi diwani wa kirumba Danny kaungu kuwa atahakikisha kata na majimbo yanayoongozwa na chadema yatakuwa mfano wa kuigwa kauli nayoifananisha na ya maisha bora.
_leo nawaaga rasim wakuu wa jukwaa hili la siasa !
__NB jimbo la Nassari na Mnyika tu ndio walau utasema kuna uongozi wa mbunge!
Marire
Pole na misukosuko ya maisha, Uchaguzi wa Kalenga umeacha makovu mengi.
Huna haja ya kuichukia siasa, maana siasa ndio maisha. Jiunge na wapambanaji CCM, ili tuendeleze harakati za kuwapigania wanyonge na kudumisha Amani, Umoja na Mshikamano. Hawa CHADEMA ni wahuni tu.
 
Last edited by a moderator:
Kamanda pole sana kwa jinsi ambavyo umeangushwa na uongozi wa CHADEMA.

Ushauri wangu: usiweke matarajio makubwa sana kwenye kila jambo mkuu. Uwe unaishi tu kawaida. Binafsi sijawahi kuiwekea CCM matarajio makubwa sana. Ndio maana hata ikitokea tunakosea, inakua rahisi kurudi kwenye truck.

Sikulaumu kwa maamuzi yako mkuu. Ni vyema usitishe kushabikia chama, ila kamwe usiache kuishabikia Tanzania. Yangu ni hayo.
 
Mkuu Marire ni wewe? mkuu usipanic! come down! jipe muda wa kujipumzisha kama wiki moja hivi akili itulie na utajikuta ukipata nguvu tena! usipanic! ushauri wako bado ni muhimu kwa jamii wote tukiamua kukata tamaa, mwisho wake ni nini? mkuu Marire nakusihi sana usikukimbie tafadhali!
 
Last edited by a moderator:
Pumzika kwa amani kamanda na pole kwa kuchagua chama kilichoasisiwa kwa maslahi ya mtu (kundi) binafsi.Ninachokuhakikishia ni kuwa Chadema haitobadilika milele bora urejee katika chama kinachoamini katika umoja na maendeleo na kuthamini utu wa kila mtanzania CCM.

nitasema kweli daima, fitna kwangu mwiko.
 
Heshima kwenu wakuu.
kwa nitakaowaudhi waniwie radhi.
_Mimi ni mwanachama wa chadema na nina kadi hai kabisa ninafurahiswa na viongozi wa chadema wakiwemo wabunge na madiwani majukwaani tu na si kwenye maendeleo...
kwa muktadha huo hata hili jukwaa la siasa nilikuwa mchagiaji mzuri sana kwa kuitetea chadema ndio sasa nikaamua leo niwaage rasimi hapa kwa kuwa ccm siwapendi na chadema siipendi ila nitabaki na kadi yangu hadi hapo watakapokuja viongozi watakaoleta maendeleo.
kama alivyokwishatuahidi. Dr.W.Slaa wakati anamnadi diwani wa kirumba Danny kaungu kuwa atahakikisha kata na majimbo yanayoongozwa na chadema yatakuwa mfano wa kuigwa kauli nayoifananisha na ya maisha bora.
_leo nawaaga rasim wakuu wa jukwaa hili la siasa !
__NB jimbo la Nassari na Mnyika tu ndio walau utasema kuna uongozi wa mbunge!

Pole sana Mkuu, lakini kwani chama cha Siasa ni chadema tu ? Kwa nini usihamie chama kingine unachoona kinakufaa.
 
Heshima kwenu wakuu.
kwa nitakaowaudhi waniwie radhi.
_Mimi ni mwanachama wa chadema na nina kadi hai kabisa ninafurahiswa na viongozi wa chadema wakiwemo wabunge na madiwani majukwaani tu na si kwenye maendeleo...
kwa muktadha huo hata hili jukwaa la siasa nilikuwa mchagiaji mzuri sana kwa kuitetea chadema ndio sasa nikaamua leo niwaage rasimi hapa kwa kuwa ccm siwapendi na chadema siipendi ila nitabaki na kadi yangu hadi hapo watakapokuja viongozi watakaoleta maendeleo.
kama alivyokwishatuahidi. Dr.W.Slaa wakati anamnadi diwani wa kirumba Danny kaungu kuwa atahakikisha kata na majimbo yanayoongozwa na chadema yatakuwa mfano wa kuigwa kauli nayoifananisha na ya maisha bora.
_leo nawaaga rasim wakuu wa jukwaa hili la siasa !
__NB jimbo la Nassari na Mnyika tu ndio walau utasema kuna uongozi wa mbunge!

nitafuatilia michango yako hapa kama unasema kweli.
 
Back
Top Bottom