Nimekata tamaa na CHADEMA!

Nimekata tamaa na CHADEMA!

Umerogwa wewe sio bure, hao vijana unaowasema, ni vijana wa familia yako au, we bata tu.
 


........Love me, love me, Say that you love me
Fool me, fool me, Go on and fool me
Love me, love me, Pretend that you love me
Leave me, leave me, Just say that you need me.......

Hahahahaaaa, Ma Housegirl ya Tanzania, Chris Lukosi na dada zake.....
 
Last edited by a moderator:
kalengaa.jpg


Polisi akilinda Kituo cha Kupigia Kura cha Shule ya Chekechea ya Mchwivila katika Jimbo la Kalenga, Iringa jana . Picha na Edwin Mjwahuzi (By Kichuguu wa JF)
 
Last edited by a moderator:
Vijana wengi wa kitanzania walio ahidiwa ahadi kemu kemu na chama cha kiraghai cha upinzani (CDM) Wamekata tamaa.

Hii ni baada ya vichapo mfurulizo kukiandama chama hicho. Na chama hicho kutumia gharama kubwa za uchaguzi huku wapiga kura wakila ugali na kachumbali.

Vilevile imeelezwa na vijana wa kuaminika kutoka chama hicho kuwa waliahidiwa madonge manono kiasi cha vijana hao kutumia nguvu nyingi ikiwamo kuhatarisha maisha yao na watu wemgine.

vijana hao wamekuwa kama wamenyeshewa mvua ya mawe kiasi cha kupotea kwenye mitandao ya kijamii hususani JF. Machachari yao na tambo zao zote kuishia kwenye keyboard za kopyuta huku masanduku ya kura yakitoa somo.

Ombi langu kwa vijana hao warudi kundini (CCM) kusema kweli hatuta watupa.
KARIBUNI SANA CCM TUJENGE NCHI ACHANANENI NA SIASA ZA KIRAGHAI.
Ndiyo maana ni hiari mtu kujiunga na chama cha siasa.Ukiona huku mambo hayaendi unahamia huku na wamefanya hivyo wengi wakiwemo viongozi wa vyama vya upinzani.
Kwa mikakati ya CCM na mengi yanayoambatana nayo CCM itaendelea kushinda kwa muda mrefu.
 
Vijana hao ni wa CCM,kwani mpaka leo CDM inakuwa ama inashuka,imepoteza kata/majimbo mangapi mpaka sasa? katika kura zinazopigwa kila uchaguzi mtaji wa kura wa CDM unakuwa ama unashuk?

Anayesema kuhusu CDM naomba aoneshe kwa graph na kisayansi labda tutamwelewa
 
kalengaa.jpg


Polisi akilinda Kituo cha Kupigia Kura cha Shule ya Chekechea ya Mchwivila katika Jimbo la Kalenga, Iringa jana . Picha na Edwin Mjwahuzi (By Kichuguu wa JF)
Kwa picha hii, unategemea nini? Huku bado watu waki kwenye usingizi tororoo!! Ujinga ambao ni mtaji wa Ccm.
 
Last edited by a moderator:
Maskini!!!! Watanzania wanatongozwa kwa rushwa ya chumvi, kanga na vikofia vya kijani na kuangushwa kwenye jamvi la ufukara! CCM wanachekelea na kuendelea kuwashughulikia na kuwatia mimba ya umaskini bila huruma!
 
Vijana wengi wa kitanzania walio ahidiwa ahadi kemu kemu na chama cha kiraghai cha upinzani (CDM) Wamekata tamaa.

Hii ni baada ya vichapo mfurulizo kukiandama chama hicho. Na chama hicho kutumia gharama kubwa za uchaguzi huku wapiga kura wakila ugali na kachumbali.

Vilevile imeelezwa na vijana wa kuaminika kutoka chama hicho kuwa waliahidiwa madonge manono kiasi cha vijana hao kutumia nguvu nyingi ikiwamo kuhatarisha maisha yao na watu wemgine.

vijana hao wamekuwa kama wamenyeshewa mvua ya mawe kiasi cha kupotea kwenye mitandao ya kijamii hususani JF. Machachari yao na tambo zao zote kuishia kwenye keyboard za kopyuta huku masanduku ya kura yakitoa somo.

Ombi langu kwa vijana hao warudi kundini (CCM) kusema kweli hatuta watupa.
KARIBUNI SANA CCM TUJENGE NCHI ACHANANENI NA SIASA ZA KIRAGHAI.

Laghai ww nyambaf kwanini ulete umbea wako hapa eti mwisho unamalizia kwakusema karibuni ccm kwan huko ccm kuna nn jipya?miaka52 yauhuru bado mnaamini uongozi wakurisishana?matatizo kibao maji,umeme,barabara,afya,elimu,usalama etc yote hayo nikizungumkuti chini yaccm kwamiaka 52.ccm mtajiwenu kisiasa niumbumbu wawatu nakutumia matatizo yao kama kitu chakujipatia kura,hasa pale mnapowapa wajinga namazombi yenu kofia,mashati mtanuko,khanga,pilau a.k.a ubwabwa,etc ila mwakani ongezeni navyupi ili muwaoe Kabisa sabu kuwapa khanga tu bila chupi nidhihaka!mtu mwenye akili timamu huwezi kujiunga ccm labda matahira tu!
 
Maskini!!!! Watanzania wanatongozwa kwa rushwa ya chumvi, kanga na vikofia vya kijani na kuangushwa kwenye jamvi la ufukara! CCM wanachekelea na kuendelea kuwashughulikia na kuwatia mimba ya umaskini bila huruma!
Ile aliyokuwa anagawa rose kamili slaa?
 
Laghai ww nyambaf kwanini ulete umbea wako hapa eti mwisho unamalizia kwakusema karibuni ccm kwan huko ccm kuna nn jipya?miaka52 yauhuru bado mnaamini uongozi wakurisishana?matatizo kibao maji,umeme,barabara,afya,elimu,usalama etc yote hayo nikizungumkuti chini yaccm kwamiaka 52.ccm mtajiwenu kisiasa niumbumbu wawatu nakutumia matatizo yao kama kitu chakujipatia kura,hasa pale mnapowapa wajinga namazombi yenu kofia,mashati mtanuko,khanga,pilau a.k.a ubwabwa,etc ila mwakani ongezeni navyupi ili muwaoe Kabisa sabu kuwapa khanga tu bila chupi nidhihaka!mtu mwenye akili timamu huwezi kujiunga ccm labda matahira tu!
Hampendi kuusikia ukweli kwanini? Chadema imeshakufa. Watu wameichoka haraka kutokana vitendo vya kihuni huni, ubaguzi udikteta na vurugu na uharamia wa umwagaji damu
 
waulize watu wakike ktk familia yenu..huwa nakunywa nao na kuwashindanisha kunywa.
Hizi lugha za machadema kutukana watu ndio zinawaponza. Saccos imeshakufa hiyo ni kugawana mbao tu sasa
 
Chadeama ina miaka 22 mpaka leo inatambaa
 
Vijana wengi wa kitanzania walio ahidiwa ahadi kemu kemu na chama cha kiraghai cha upinzani (CDM) Wamekata tamaa.

Hii ni baada ya vichapo mfurulizo kukiandama chama hicho. Na chama hicho kutumia gharama kubwa za uchaguzi huku wapiga kura wakila ugali na kachumbali.

Vilevile imeelezwa na vijana wa kuaminika kutoka chama hicho kuwa waliahidiwa madonge manono kiasi cha vijana hao kutumia nguvu nyingi ikiwamo kuhatarisha maisha yao na watu wemgine.

vijana hao wamekuwa kama wamenyeshewa mvua ya mawe kiasi cha kupotea kwenye mitandao ya kijamii hususani JF. Machachari yao na tambo zao zote kuishia kwenye keyboard za kopyuta huku masanduku ya kura yakitoa somo.

Ombi langu kwa vijana hao warudi kundini (CCM) kusema kweli hatuta watupa.
KARIBUNI SANA CCM TUJENGE NCHI ACHANANENI NA SIASA ZA KIRAGHAI.

#Annael acha uongo sina haja hata ya kusoma kichwa habari tu naweza kukujibu we ni mwongo kwa taarifa yako kimya kingi kina mshindo..
 
Back
Top Bottom