Nimekaribishwa chumbani kwa demu

Nimekaribishwa chumbani kwa demu

Ndiyo maana akaandaliwa chips mayai

Kwani chips mayai iko na madhara?...... hata kama ningeenda peke yangu mimi sipendi kuzinguliwa,,,,, maana angeanza zile za kulazimishana mara "unanidharirisha".... what the f**k is that
 
Umetuharibia story, kitendo cha kwenda na rafiki yako kimeharibu mwisho wa hoi hadithi halafu unataka sisi tutoe ushauri na tujibu kwamba alitaka alitaka kugegedwa au la?
Kuna demu mmoja nilishamuomba namba na sijawahi kumtongoza hata siku moja. Baada ya kuwasiliana mwanzoni txting na calling baadae akanipotezea (mademu hadi umtxt au umcall yeye). Nikadelete namba yake, nashangaa siku moja unknown calling kwa simu yangu. Nikarespond, sikuweza kumfaham akajitambulisha ila nikafix kuwa simu yangu huwa haioneshi majina kwa namba zinazoanza na 0.... bali +255.... akakubari na kusema no worry. Kanikarbisha kwake (ni single) nimekuta mazaga zaga mengi. Mayai, soda , maji , chips, kitanda dressed well, amedeki chumba. Ila nilienda na rafiki yangu na alionekana kutofurahi. Je alikuwa amejiandaa kwa mgegedo au ndio ukalimu wake? Hadi leo yupo quiet na mimi sijamtongoza..... ushauri jamani!!!!
 
Kwani chips mayai iko na madhara?...... hata kama ningeenda peke yangu mimi sipendi kuzinguliwa,,,,, maana angeanza zile za kulazimishana mara "unanidharirisha".... what the f**k is that

Kuzinguliwa ndiyo utamu wenyewe babu eeeh .... kuchi kuchi kibao we unataka ufike uanze kazi kwani switch ya umeme useme unawasaha inawaka hapo hapo.... raha ya penzi mchokonoleane wewe mkimbizane weee .... na raha na utamu wa mwanamke abane bane ili umtekenye tekenye si unataka kama sheria.... we hujui mtiano wewe bado mtoto... unatakiwa usimamishe mpaka misuli iiume
 
Hadi hili unaomba ushauri?????? Jambo dogo kama hili aaaaaarghhhhh
 
Tuliozoea kuonja kwanza kazi tunayo.
Maana silipi hadi nimeonja kwanza@miss chaga
 
Kuzinguliwa ndiyo utamu wenyewe babu eeeh .... kuchi kuchi kibao we unataka ufike uanze kazi kwani switch ya umeme useme unawasaha inawaka hapo hapo.... raha ya penzi mchokonoleane wewe mkimbizane weee .... na raha na utamu wa mwanamke abane bane ili umtekenye tekenye si unataka kama sheria.... we hujui mtiano wewe bado mtoto... unatakiwa usimamishe mpaka misuli iiume

Bora hata akubari kushikwa breast tip, kiuno na around k n.k wengine hata kushikwa hawataki. Hawajui kuongea ,,,,, wakati kupenda kupendwa kupo. Wana neno bofu mbofu. Nyambafu madem wa hiv
 
Wakati wa ujana wangu sikuwahi kwenda chumba cha mdada. Sipendi..sijui kwa nini. Unless awe kwao/anaishi na nduguze.
 
Kumbe nurse tena,,,, anapata pesa mtoto msafi. Huyo ni wakutumia tu. Na ni bora amekwambia anakutaka kimapenzi. Kama humwamini kiafya condom zipo.

miteremko mibayaaa kwa mtoto wa kiume mi siangaliii position yake naaangalia side effects kwangu tu.
 
kweli IQ za wabongo zinazidi kushuka siku hadi siku yaani jambo Dogo tu mtu anakimbilia jf kuomba ushauri
 
Back
Top Bottom