Pole mkuuNdio katika kutafuta maisha
Nimependa spirit yakoPole sana mkuu! Mm pia nlshawah kukutwa na tukio kama hlo la kukamatwa eti nachezesha ps watoto wadogo under 18 na nikapewa kosa jngne kua eti ps ni mchezo wa kamal hvyo inabd niwe na vbali vya osha, tra, na bodi ya michezo ya kubahatsha pia nkaambiwa nafanya wanafunzi wafeli wakat mda wangu wa kufungua ulikua ni sa kumi jion had sa mbili ila nlkamatwa jmamos mda wa sa tano cz wkend nlikua nafungua sa nne. Nlila lumande cku mbili,wateja wangu pia nlikamatwa nao ila wao walilala cku moja. Nkafunguliwa kesi ya kuchezesha kamali watoto chn ya miaka 18 ingawa haikua ukweli wateja wangu weng walikua boda boda na hata vjana wa makamo watoto hawakua kivile na wala kamali ilikua haichezw, kutokana na kuona usumbufu wa kuhudhuria mahakaman kila wk mbli nilitoa hela kwa mwendsh mshtak kesi ikafutwa na biashara nkaacha ingawa kiukwl cjawah kua na biashara yeny faida kama ile hasa mikoani sema tu ushamba wa watu na roho mbaya ndo zmepelekea nkaacha. Na alie nichomesha kwa mkuu wa wilaya nikamatwe nlikuja kumjua na alikua frame ya jran yangu na kelele za wacheza ps zlikua znamkera. Ila bdo nataka nijpange nianze tena mana yule dc alipandshwaga cheo na mwendazake akawa rc na bdo ni rc ila ni mshamba sana yule bro. Nw yupo dc mtoto wa daslamu nataka nikaongee nae wazo langu la biashara nimckie atasemaje.
Wewe ni nani na uko wapi?Habari zenu wakuu muda huu nimefungiwa kwenye kichumba je ni kosa kisheria? Wakininyanyang"nya cm nitakuta majibu kesho maana nataka nikitoka niendelee na biashara ndio biashara inayonipa hela ya kula mimi na watoto wangu.
Kichumba ndo wapi?Habari zenu wakuu muda huu nimefungiwa kwenye kichumba je ni kosa kisheria? Wakininyanyang"nya cm nitakuta majibu kesho maana nataka nikitoka niendelee na biashara ndio biashara inayonipa hela ya kula mimi na watoto wangu.
Wameniachia wamerudi kwenye leseni sasa wamesema kesho nikaripoti saa 2 na nusuInategemea unaanza kuchezesha saa ngapi Mara nyingi ukichezesha kuanzia saa 8 mchana sio mbaya,pia huko uswahilini wazazi wengi wakiona watoto wao wanashiriki huu mchezo basi watajenga huasama na wewe hawajui karne tuliyoopo watoto wao wa kiume hii ndio michezo yao sio tena zama zile za komborela,kula mbakishie baba,kuendesha magari ya udongo na mabati yani wazazi wa Uswazi hawaelewi hilo. Pole sana mkuu wangekuwa wamekuja kukuamata mda wa shule unachezesha hapo ingekuwa soo.mchezo huo sio kesi kwani wewe Hauna tofauti na waonyesha mipira na video show,ongea nao vizuri hao pai kama ni chuki tu za majirani watakuachia
Sasa hivi wamerudi kwenye leseni na vibali kesho naenda kuwaskilizaPole sana mkuu! Mm pia nlshawah kukutwa na tukio kama hlo la kukamatwa eti nachezesha ps watoto wadogo under 18 na nikapewa kosa jngne kua eti ps ni mchezo wa kamal hvyo inabd niwe na vbali vya osha, tra, na bodi ya michezo ya kubahatsha pia nkaambiwa nafanya wanafunzi wafeli wakat mda wangu wa kufungua ulikua ni sa kumi jion had sa mbili ila nlkamatwa jmamos mda wa sa tano cz wkend nlikua nafungua sa nne. Nlila lumande cku mbili,wateja wangu pia nlikamatwa nao ila wao walilala cku moja. Nkafunguliwa kesi ya kuchezesha kamali watoto chn ya miaka 18 ingawa haikua ukweli wateja wangu weng walikua boda boda na hata vjana wa makamo watoto hawakua kivile na wala kamali ilikua haichezw, kutokana na kuona usumbufu wa kuhudhuria mahakaman kila wk mbli nilitoa hela kwa mwendsh mshtak kesi ikafutwa na biashara nkaacha ingawa kiukwl cjawah kua na biashara yeny faida kama ile hasa mikoani sema tu ushamba wa watu na roho mbaya ndo zmepelekea nkaacha. Na alie nichomesha kwa mkuu wa wilaya nikamatwe nlikuja kumjua na alikua frame ya jran yangu na kelele za wacheza ps zlikua znamkera. Ila bdo nataka nijpange nianze tena mana yule dc alipandshwaga cheo na mwendazake akawa rc na bdo ni rc ila ni mshamba sana yule bro. Nw yupo dc mtoto wa daslamu nataka nikaongee nae wazo langu la biashara nimckie atasemaje.