Habari zenu wakuu muda huu nimefungiwa kwenye kichumba je ni kosa kisheria? Wakininyanyang"nya cm nitakuta majibu kesho maana nataka nikitoka niendelee na biashara ndio biashara inayonipa hela ya kula mimi na watoto wangu.
Kama ni TRA wamekukamata huna TIN na mashine ya EFD, basi jiandae na kesi ya "UHUJUMU UCHUMI (Kukwepa Kodi Na Kuisababishia Serikali Hasara Ya Mapato)". Kesi haina dhamana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.