Mbona tulishazichoma nyingi tu!
Mkuu kadi ya CDM utaichukulia wapi? Nasikia Ole Millya na Mawazo wanaandaliwa karamu kubwa na watakabidhiwa kadi kijijini kwao (Millya). Nawe wapi mkuu?
Umepotea CDM hakuna demokrasia, kuna NDIYO MZEE MBOWE
Huyo aloshika speaker anahubiri au?
Umepotea CDM hakuna demokrasia, kuna NDIYO MZEE MBOWE CDM NI UKANDA!, CUF NI UPWANI!, CCM NI UTAIFA!
Naomba kuuliza...
Wewe origin yako ni Moshi or Arusha?
Kazi mnayo...kumbe yayo ndiyo majimbo pekee mliyonayo hapa Tazania????huyu jamaa wa amezaliwa kawe, amesomea ubungo primary. secondary Iringa. Sasa yuko Mbeya. amepata Kazi Arumeru Juzi. Ila wazazi wake kwasasa wapo Kigoma kwa zitto. hajawahi kufika moshi wala Arusha.
Magamba at work and desperate too! Hiyo "speaker" iko wapi mkuu, au kwangu naona picha tofauti?
Asante kwa kumfahamu...kumbe wote tumetokea Moshi!! Aika Ruwa!!Mussolin ni ndugu yake kabisa Rejao, ila sijui wanatokea mkoa gani, kwangu mimi hakunaga kuuliza mtu kabila. Ni dalili ya hulka za ukabila.
jamaa wa msoga uyu
huyu ni wa dodoma, aliwahi kwa nyakati tofauti kuishi singida na tabora
:argue::majani7::majani7::A S-confused1::couch2:me nipo Mwanza jamani
nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.
CDM bhana kumbe ndo maana Nape alisema mnajitekenya na kucheka wenyewe!! Lakini chama kikikosa wanachama si vibaya kujifariji kwa namna hii!! ungeonekana mzalendo sana kwa kueweka ID yako halisi ili uvutie wengi, si ajabu ukawa ndo ule padri mzinzi!![/QUOT
Aaaaaaa hujambo Mh. Lusinde?
haaaa mkuuu umechoma?
ni kosa kisheria mkuuuu!
mi ninayo bado na ntapambana nao mpaka mwisho!
Huyo aloshika speaker anahubiri au?