nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.
.
Acha ujinga wewe! ... kwanza haiitwi speaker! ... hiyo inaitwa microphone au kwa kiswahili fasaha inaitwa mikrofoni.
Speaker ni hizi hapa
Mikrofoni ni hii hapa chini
Kusoma hujui ... hata picha huioni!
.
Mkuu kadi ya CDM utaichukulia wapi? Nasikia Ole Millya na Mawazo wanaandaliwa karamu kubwa na watakabidhiwa kadi kijijini kwao (Millya). Nawe wapi mkuu?
nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.
nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.
Naomba kuuliza...
Wewe origin yako ni Moshi or Arusha?
.
Acha ujinga wewe! ... kwanza haiitwi speaker! ... hiyo inaitwa microphone au kwa kiswahili fasaha inaitwa mikrofoni.
Speaker ni hizi hapa
Mikrofoni ni hii hapa chini
Kusoma hujui ... hata picha huioni!
.
Naomba kuuliza...
Wewe origin yako ni Moshi or Arusha?
Kumbe mwanamke anaweza kuwa mkorofi kabla hujamuoa, akiolewa , kimya!!