Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 10,187
- 16,286
Umeandika ukweli mtupu Mkuu, ngoja niwasindikize na huu wimbo Mabinti ambao hawajaolewa na wanaitamani ndoa. Kuna ndoa na harusi. Dada zangu achaneni na harusi tafuteni ndoa na muwe na Subira Mwenyezi Mungu ndie mjuzi maana alipokuumba alikupa na ubavu wa Mwanamme. Subira ni muhimu
View: https://youtu.be/aXE4gLCihnM?si=cRgX2sAcW5pEqjIN
View: https://youtu.be/aXE4gLCihnM?si=cRgX2sAcW5pEqjIN