Acha dharau wewe mshamba, kama ni ka laki 6 na 8 ww unacho...???? wewe ndio wale wanaokataa kustaafu na kupisha watu wengine...acha watu wakajaribu bahati zao...wewe ni ***** na nna wasiwasi na elimu yako au hapo ulipo unafanya kazi ulitoa t...ko ama vipi..????
Dah in maana wakubwa member humu ndani hatuna ushirikiano tena????? toka jana naomba mtu ambaye ameenda kufanya registration anipm namba yake.. at least nimuulize mawili matatu. Issue ni kwamba niko mbali na nahitaji nisafiri. NA maamuzi hayo yatategemea na ushirikiano wa member.. Please naomba aliyeenda aniPM namba yake sasa hivi nina muda wa saa 1 tuu kafanya maamuzi.
Acha dharau wewe mshamba, kama ni ka laki 6 na 8 ww unacho...???? wewe ndio wale wanaokataa kustaafu na kupisha watu wengine...acha watu wakajaribu bahati zao...wewe ni ***** na nna wasiwasi na elimu yako au hapo ulipo unafanya kazi ulitoa t...ko ama vipi..????
"We refer to your application for employment with NSSF. We would like to invite you for aptitude test to be conducted at Institute of Finance Management(IFM) campus Shabaan Robert Street in Dar Es Salaamon Saturday 31st, December, 2011 at 12:00pm.
Please registe yourself at NSSF Water Front House between Tuesday 27th and Friday 30th December,2011 from 9o a.m. to 4:00pm.
Please observe punctuality".
sasa yangu imeonesha muda wa interview ni sa1O jioni yaan 4pm
Inawezekana umeomba kazi tatu tofauti ndio maana umetumiwa sms zenye saa tofauti. Nikiangalia hizo saa inaonekana wewe umeomba Assistant Accountant, Accountant na Finance Officer. mwanzo walitaka watu wote wafike saa sita mchana, lakini nadhani walipoona turnup ya watu kwenye registration kuwa ni kubwa wakaamua kila kundi waje muda tofauti. Nadhani ni hivyo mkuujamani naona nssf wanaleta fujo wamenitumia msg kama tatu leo moja wanasema 12 PM nyingine 4PM na nyingine 8.OO AM saa za kufanya hiyo test.
Asante kwa kutujuza kumbe wewe ni she. Abarikiwe BF wakoBoyfriend wangu pia ame2miwa sms hii,wish ol the best lucky 4 him.
Boyfriend wangu pia ame2miwa sms hii,wish ol the best lucky 4 him.
Inawezekana umeomba kazi tatu tofauti ndio maana umetumiwa sms zenye saa tofauti. Nikiangalia hizo saa inaonekana wewe umeomba Assistant Accountant, Accountant na Finance Officer. mwanzo walitaka watu wote wafike saa sita mchana, lakini nadhani walipoona turnup ya watu kwenye registration kuwa ni kubwa wakaamua kila kundi waje muda tofauti. Nadhani ni hivyo mkuu
Kuna ndugu yangu amekwama Ruvu,je naweza kumuandikia?
Hali siyo nzuri huku...supplies officers peke yake tupo 500
Kuna ndugu yangu amekwama Ruvu,je naweza kumuandikia?