Nimeitwa Interview sehemu mbili muda mmoja

Nimeitwa Interview sehemu mbili muda mmoja

Ethos

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2015
Posts
2,294
Reaction score
2,090
Wakuu..

Hii ni mara ya kwanza hili kunitokea.. Nataka nifanye maamuzi... Ila ningependa kupata ushauri humu... Ni kipi cha kuzingatia ili kupiga chini sehemu moja maana zote ni katika mambo niliyosomea... Na kufanya zote labda nipande ndege na uwezo huo sina... Any suggestions?
 
Wakuu..

Hii ni mara ya kwanza hili kunitokea.. Nataka nifanye maamuzi... Ila ningependa kupata ushauri humu... Ni kipi cha kuzingatia ili kupiga chini sehemu moja maana zote ni katika mambo niliyosomea... Na kufanya zote labda nipande ndege na uwezo huo sina... Any suggestions?

Unaruhusiwa kupanga nao lini ufanye interview kwa kutoa sababu muhimu itakayokufanya usiwepo muda waliokupa. Labda kama hawakuhitaji lakini hiyo ni kawaida kabisa na wala usihofu.
 
Unaruhusiwa kupanga nao lini ufanye interview kwa kutoa sababu muhimu itakayokufanya usiwepo muda waliokupa. Labda kama hawakuhitaji lakini hiyo ni kawaida kabisa na wala usihofu.
Asante Mkuu
 
fanya zote mbili, usifanye uchaguzi wa kufanya moja na kuacha nyingine, just be honest anza na ya karibu then ya mbali wapigie na kuwaambia wakusogezee mbele kuwa una dharura naamini watafanya hivyo, ni vitu vya kawaida hivyo au omba telephonic/skype interview instead alafu wakupangie physical baadae
 
Wakuu..

Hii ni mara ya kwanza hili kunitokea.. Nataka nifanye maamuzi... Ila ningependa kupata ushauri humu... Ni kipi cha kuzingatia ili kupiga chini sehemu moja maana zote ni katika mambo niliyosomea... Na kufanya zote labda nipande ndege na uwezo huo sina... Any suggestions?
Ni interview gani na ni course gani ulisomea kuwa muwazi ushauliwe ndg.
 
fanya zote mbili, usifanye uchaguzi wa kufanya moja na kuacha nyingine, just be honest anza na ya karibu then ya mbali wapigie na kuwaambia wakusogezee mbele kuwa una dharura naamini watafanya hivyo, ni vitu vya kawaida hivyo au omba telephonic/skype interview instead alafu wakupangie physical baadae
Poa poa asante sana
 
fanya zote mhuko, usifanye uchaguzi wa kufanya moja na kuacha nyingine, just be honest anza na ya karibu then ya mbali wapigie na kuwaambia wakusogezee mbele kuwa una dharura naamini watafanya hivyo, ni vitu vya kawaida hivyo au omba telephonic/skype interview instead alafu wakupangie physical baadae
Mkuu labda hiyo Skype au telephonic interview utafanyiwa huko nchi za wenzetu. Huku hawatakubali na wataona una madharau. Lazima ufike physically. Cha msingi aombe tu udhuru kwa interview moja.
 
Faru Jeuri ni Jeuri Kweli Kweli (Kwa sauti ya mkulu)
 
Mkuu labda hiyo Skype au telephonic interview utafanyiwa huko nchi za wenzetu. Huku hawatakubali na wataona una madharau. Lazima ufike physically. Cha msingi aombe tu udhuru kwa interview moja.
ndoroboooooooo i have been working na NGOs tofauti hapa TZ it is very common sasa sijui una refer hapa kwetu wapi? au una maanisha za serikalini?
 
Back
Top Bottom