Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Kwani Mombasa sio Kenya?
Mie najua Chiwatule ni Tanzania
Kwani Mombasa sio Kenya?
Usikute huyo aliye mwita ndo anataka awe girlfriend sasa kaja na team nzima kama TP Mazembe.
Ahaaaa ahaaaaa ahaaaa l.o.lHit them all
Uongo upi wewe? kwani we ndo unawajua zaidi wakenya?Acha uongo wewe Kenya gani hiyo unayoizungumzia wewe???!!!!!
Achana naye huyo anajifanya anawajua sana wa Kenya wa nchi nzima.:A S 2152:Kwani Mombasa sio Kenya?
Nilishawahi kusema humu ndani na nitarudia tena,dawa ya watu wa hivyo ni ndogo sana,wakaribishe unapoishi hata waje kumi poa tu kisha unawasongea ugali wa nguvu unawawekea mezani,mkimaliza kula ndio unafanya mtoko mkifika huko ni vinywaji tu hakuna gharama ya mlo na wakiulizia mlo nawe unawauliza kwani hamkushiba ule ugali?
nimecheka sana. Gud idea!!!
Kama una 10,000/= mfukoni unaita binti baa ili iweje? Mapenzi na Mkono wa Birika haviendani - Kama huna pesa acha kusumbua mabinti zetu - Endeleaa na shule na mambo yakishakaa sawa utakuwa na uwezo wa kualika hata Baba na Mama yake binti pale Giraffe weekend moja...
Wakija wote we anza kuwapapasa wote kana kwamba umelewa na mwisho wasifie rafiki zake ni warembo na huku ukijilaumu kwa nini hukukutana nao hao hapo kabla!
Kama anampenda amwambie tu ukweli kua aje alone hana uwezo wa kuhudumia team nzima,sasa kama ndo kujidai matawi unaumia afu unakuja kulia JF haisaidii chochote
Ahaaaa ahaaaaa ahaaaa l.o.l
Usikute huyo aliye mwita ndo anataka awe girlfriend sasa kaja na team nzima kama TP Mazembe.