Nimeirudia Rushwa Niliyotoa TRA

Nimeirudia Rushwa Niliyotoa TRA

Mastamind

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,316
Reaction score
840
Jumatatu ya wiki lililoisha nilienda tafuta TIN namba TRA ila wakanambia hadi niwe na Leseni ya biashara from manispaa, jumatano nikafanikiwa kuipeleka nilikutana na jamaa fulani TRA akaanza nifanyia makisio nakunambia biashara yaku inaangukia kwenye 212, 000 kwa mwaka ila km naweza pitia mlango wa nyuma nitawekwa kwenye 100, 000/= kwa mwaka.

Ila hiyo nitatakiwa kuwa nayo yote kwa muda huo niwape waniweke kundi hilo then makusanyo hayo watakuwa wanaijia wenyewe binafsi kwa instalment 4, kwa vile sikua na hela yakutosha kulipa elf 53, 000/= halali ili nipate TIN kwa siku hyo niliimba nae anihurumie nimtoe 50/= hyo 50/= nyingne next monday. Akakubali baada yakuamini kweli sina hela, nikamtoa hyo 50/= nikamtoa hiyo tukamalza nikasepa japo Cheti ikawa ngum kwa cku hyo coz time ilikua imeenda sana nikaahidiwa kesho yake jumanne nikaendea.

Ila nilipokua kitaa nikawaulzia wenye experience zao wakanambia ulipaswa kuangukia hapohapo kwenye lak 1 kwa mwaka nikagundua nimepigwa nikaumia sana sikukubali ikabidi nimchek hewani yule jamaa nikamwambia arudishe ile hela akataka leta ukahidi nikamkuta ofisini kwake hatimae akairudisha nzimanzima kama ilivyo nakujikuta sijalipa hata mia TRA kupata TIN.

MY Take:
Nini hatima yake because kachukia hatare yule jamaa.
 
Hana cha kukufanya lolote zaidi ya kwamba yeye kaingia choo cha kike, na zaidi ingekuwa mie ningemalizia ile pesa iliyobaki nikiwa na PCCB na msiba wake angekula na nduguze
 
Nilikua nimfukuze kazi2 mimi mwenyew
 
Kama ni haki yako umeifuata safi sana!!!!!!
Tungekuwa hivyo wengi mbona saa hizi huduma nyingi zingeboreka
 
Jumatatu ya wiki lililoisha nilienda tafuta TIN namba TRA ila wakanambia hadi niwe na Leseni ya biashara from manispaa, jumatano nikafanikiwa kuipeleka nilikutana na jamaa fulani TRA akaanza nifanyia makisio nakunambia biashara yaku inaangukia kwenye 212, 000 kwa mwaka ila km naweza pitia mlango wa nyuma nitawekwa kwenye 100, 000/= kwa mwaka.

Ila hiyo nitatakiwa kuwa nayo yote kwa muda huo niwape waniweke kundi hilo then makusanyo hayo watakuwa wanaijia wenyewe binafsi kwa instalment 4, kwa vile sikua na hela yakutosha kulipa elf 53, 000/= halali ili nipate TIN kwa siku hyo niliimba nae anihurumie nimtoe 50/= hyo 50/= nyingne next monday. Akakubali baada yakuamini kweli sina hela, nikamtoa hyo 50/= nikamtoa hiyo tukamalza nikasepa japo Cheti ikawa ngum kwa cku hyo coz time ilikua imeenda sana nikaahidiwa kesho yake jumanne nikaendea.

Ila nilipokua kitaa nikawaulzia wenye experience zao wakanambia ulipaswa kuangukia hapohapo kwenye lak 1 kwa mwaka nikagundua nimepigwa nikaumia sana sikukubali ikabidi nimchek hewani yule jamaa nikamwambia arudishe ile hela akataka leta ukahidi nikamkuta ofisini kwake hatimae akairudisha nzimanzima kama ilivyo nakujikuta sijalipa hata mia TRA kupata TIN.

MY Take:
Nini hatima yake because kachukia hatare yule jamaa.

TIN siku zote ni ya bure hutakiwi kulipia hata senti tano. Pole sana
 
MKUU umenikumbusha mm mwenyewe nishawahi kwenda MWENGE pale tra kunakadada kamoja hiv kalinizingua sana alikuwa anataka hera na mm nikajifanya kujitoa ufaham kama sielewi kitu vile nikampotezea but kunamshikaji tuliongozana nae akatoa pesa akaambiwa asubili kdg kweli baada ya mda akapewa mm nikaambiwa network inasumbua??

nikaondoka zangu nikaja kesho yake tena wakanizingua nikalalamika sana nikaambiwa njoo baadae hiyo baadae mm sikuja nilicho kifanya kesho yake mapena nikafika pale.
nilipofika nikamuuliza kuna jamaanilimkuta kwasababu alikuwa hajui chochote akanitafutia ilekaratasi yangu hakuiona gafla yule Dada akafika yule kaka akaondoka zake.

kumuuliza akanambia bado ile kunambia tu bado nikamwambia basi naomba karatasi yangu sababu nimeghailisha cha ajabu alikuwa kaitenga kaificha makusudi alipoitoa tu nilianza kuwaka mlendani ofisi nzima ikabidi wastuke.yule Dada akasepa mm nikawanalalama sana mpaka akaja mama 1 kuniuliza kulikoni nikamweleza a to z mpaka babari za kupokea hera kwa best yangu yule mama akawa ananisihi sana nitulie akanbia nitulie anishugulikie kweli haikufika hata dk 10 mama akaniletea tin number nikasepa bila hata kutoa mia
 
MKUU umenikumbusha mm mwenyewe nishawahi kwenda MWENGE pale tra kunakadada kamoja hiv kalinizingua sana alikuwa anataka hera na mm nikajifanya kujitoa ufaham kama sielewi kitu vile nikampotezea but kunamshikaji tuliongozana nae akatoa pesa akaambiwa asubili kdg kweli baada ya mda akapewa mm nikaambiwa network inasumbua??

nikaondoka zangu nikaja kesho yake tena wakanizingua nikalalamika sana nikaambiwa njoo baadae hiyo baadae mm sikuja nilicho kifanya kesho yake mapena nikafika pale.
nilipofika nikamuuliza kuna jamaanilimkuta kwasababu alikuwa hajui chochote akanitafutia ilekaratasi yangu hakuiona gafla yule Dada akafika yule kaka akaondoka zake.

kumuuliza akanambia bado ile kunambia tu bado nikamwambia basi naomba karatasi yangu sababu nimeghailisha cha ajabu alikuwa kaitenga kaificha makusudi alipoitoa tu nilianza kuwaka mlendani ofisi nzima ikabidi wastuke.yule Dada akasepa mm nikawanalalama sana mpaka akaja mama 1 kuniuliza kulikoni nikamweleza a to z mpaka babari za kupokea hera kwa best yangu yule mama akawa ananisihi sana nitulie akanbia nitulie anishugulikie kweli haikufika hata dk 10 mama akaniletea tin number nikasepa bila hata kutoa mia

Baadae yule mpuuzi alichukuliwa hatua gani
 
Kweli Mastermind ndio umeamua kuja kunichoma huku Jf kweli?ama kweli shukurani ya Punda mateke,mimi si nilikwambia ufuate utaratibu ukasema kuwa una haraka sana ndio nikakwambia toa kitu kidogo cha kuvunja utaratibu ukakubali ndio ukanipa hiyo 50elfu kwa ajili ya lunch. Sasa tutaona hili swala nitalifikisha kwa wenzangu halafu tuone hiyo Biashara yako kama itafanikiwa na lazima tukupige Rungu la kukwepa kulipa kodi na kukataa kutumia FED.
 
Sista, mama na watoto wakilala inatosha sana, wao wanalala sababu wanajua baba anafikiria na kufanya kwa niaba yao!!!!!!!

We unadhani nikikukuta lunch nalipa na yangu yanasonga hela inatoka wapi????!!!!Hapo nilikuwa lindo mamy
 
Last edited by a moderator:
hata wewe una mawazo ya kutoa rushwa, hufai maana lazima utakuwa mtu wa kupokea rushwa sana.
 
Ulikosea kidogo sana yaani huyo angerudisha pesa na jala angeiona. Tumewachoka hao wezi wa ofisini.
 
Kweli Mastermind ndio umeamua kuja kunichoma huku Jf kweli?ama kweli shukurani ya Punda mateke,mimi si nilikwambia ufuate utaratibu ukasema kuwa una haraka sana ndio nikakwambia toa kitu kidogo cha kuvunja utaratibu ukakubali ndio ukanipa hiyo 50elfu kwa ajili ya lunch. Sasa tutaona hili swala nitalifikisha kwa wenzangu halafu tuone hiyo Biashara yako kama itafanikiwa na lazima tukupige Rungu la kukwepa kulipa kodi na kukataa kutumia FED.

Kama kweli vile, na hiyo FED ni mashine nyingine mpya eeh? Teh! Itakuwa ya kukamata wala rushwa ka'weye.
 
Back
Top Bottom