Hebie
JF-Expert Member
- Jul 29, 2012
- 1,415
- 876
Sababu ni kwamba kutafuta pesa huwa sina umbali.Kwahiyo hiyo kwako ndo sababu ya kukaa sumbawanga?
Sababu ni kwamba kutafuta pesa huwa sina umbali.Kwahiyo hiyo kwako ndo sababu ya kukaa sumbawanga?
Sawa mkuu nimekupata...kutafuta lakini sio kuishi.Maana ninavyojua fedha zinatafutwa bush zinaliwa mjiniSababu ni kwamba kutafuta pesa huwa sina umbali.
eeeh michongo gan iyo fursa tupeane ....nani anataka kulogwa wewe? kaa peke yako ushalogwa wewe, Jina lenye ni sumba alafu wanga uanjua maana yake wewe?
aujui kwa nini pinda hayupoo uko ameishia kuishi Kongowe DSM? jiulize waziri mkuu kukimbia kwao, wewe Mwalimu wa NASARY unajitia kutuita ebu risiti paper upande grade walau uwe mwalimu wa msingi alafu nitafte nikufanyie mpango uame uko
usije tutakurogaNitakuja kutembelea huko.
Kumbe kuna samaki (uvuvi)?
Can't wait...
mlandaMwalimu... Naomba nielekeze sehemu wanalima kitunguu swaumu hapo Swanga
saa 4Kutoka mbeya hadi sumbawanga inachukua muda gani
lowasa alipata kura nyingi sana huku,na alipokelewa kishujaaHata unijie na karandinga, Dar sing'oki ng'oooooooooooooo. Raha za makange ya pweza na redbull baridi nani aziache?
Njoo upate gegedo la mikoani..... mbona hivyo ulivyotaja utasahauHata unijie na karandinga, Dar sing'oki ng'oooooooooooooo. Raha za makange ya pweza na redbull baridi nani aziache?
Hakuna sehemu mbovu kuishi kwa watu wenye kipato cha kati kama dar....kiwanja laki 3... huko hasara tu sio kwa kuwekeza..
tanzania sehem ya kuishi ni dar tu.. kwingine kusogeza siku tu au kutafuta riziki tu.. hata mkuu wa kaya anaishi posta hapo
Mkuu ziwa Rukwa ndo maarufu kwa jina la mtowisaAlizeti, Mahindi, Ngano na Ufuta na mpunga hulimwa sana maeneo ya ziwa Rukwa maarufu kwa jina la mto wisa
Mkuu huo Ni uzushi hilo jengo halijafika huku Bado labda kama lipo njianinasikia ofisi za tcra zimehamishwa usiku wa leo kuja huko, naomba kujua hilo gorofa limewekwa wapi

Unaufahamu Mkoa wa Kinondoni?eti mkoa wa sumbawanga. Aibu sana hata jina la mkoa ambao sumbawanga inapatikana hujui. Watu kama nyie ndio mnasema tanzania ni muungano wa tanganyika na zimbabwe
Kantalamba, majumba sita,malangali,Izia,Mafulala.........nipo sumbawanga halafu naitungua DAr kiulaini hadi raha.maeneo yetu ya kujidai kizwite chanji mkoani majengo majengo kaloleni
Karibu saaana Nifah unapenda saana samakiNitakuja kutembelea huko.
Kumbe kuna samaki (uvuvi)?
Can't wait...