Zamani kabla ya Lami toka Tunduma mpa Sumbawanga ilikuwa ni safari ya masaa 3 mpaka 4 kwa basi la abiria wakati wa kiangazi, ila mvua ya maana ikipiga hata masaa 24 yanawaishia kwa road. Toka mbeya mpaka Tunduma ni saa moja au pungufu. Naambiwa kwa sasa kuna lami kwa ufadhili wa MCC, wale ambao wametukatia msaada.Kutoka mbeya hadi sumbawanga inachukua muda gani
Aisee umenikumbusha mpanda, nyama choma ya mbuzi bei chee!Njoo na Mpanda..nitafute nikutembeze
Kasanga ipi mkuu unaipenda MUZE, SONGAMBELE, LUSAMBO, KITIKA AU BIZMAK?Uko sahihi mimi nitakuja maana Kasanga Ziwani nakupenda kinoma eti
Kama unapewa pesa ya mafuta ya alteza yako utang'okaje? Hata mim nisingeweza.Hata unijie na karandinga, Dar sing'oki ng'oooooooooooooo. Raha za makange ya pweza na redbull baridi nani aziache?
Ishara ya mtu mvivu, nimezaliwa osterbay police nilisoma s/m Kumbukumbu ipo kinondoni, baadae nilienda Rungwe SS, advance nilisoma Makongo kisha baadae nilisoma UDSM, Na kazi nimekuja huku, je mbali wewe unalelewa?Tatizo ni mbali sana na Tanzania(Dar)
Kwahiyo hiyo kwako ndo sababu ya kukaa sumbawanga?Ishara ya mtu mvivu, nimezaliwa osterbay police nilisoma s/m Kumbukumbu ipo kinondoni, baadae nilienda Rungwe SS, advance nilisoma Makongo kisha baadae nilisoma UDSM, Na kazi nimekuja huku, je mbali wewe unalelewa?