Mkoa wa Sumbawanga?Very nutritious mkuu.
nani anataka kulogwa wewe? kaa peke yako ushalogwa wewe, Jina lenye ni sumba alafu wanga uanjua maana yake wewe?
aujui kwa nini pinda hayupoo uko ameishia kuishi Kongowe DSM? jiulize waziri mkuu kukimbia kwao, wewe Mwalimu wa NASARY unajitia kutuita ebu risiti paper upande grade walau uwe mwalimu wa msingi alafu nitafte nikufanyie mpango uame uko
Mgawanyo wa kazi usikufanye kuwa na dharau, kama yeye mwalimu wa nursary wewe inakuhusu nini? Kwa taarifa yako hata wenye elimu na kazi nzuri wapo hapa na huo uchawi unaoongelea ni mawazo ya kizamani, inamaana wewe bado una fikra za miaka ya 70, OK Mimi Nina masters nafanya kazi hapa Sumbawanga, wewe una elimu gani na unafanya kazi wapi kusikowachawi? Don't be ignorant!
Alidhalilishwaje mkuu?Dah kihanda naisikia tu, si kule alikodharirishwa mwl Msengezi?
Kule kuna joto kishenzyUko sahihi mimi nitakuja maana Kasanga Ziwani nakupenda kinoma eti
Acha mawazo mgando wewe,ndio maana huendelei upo hapo hapo miaka mia,umri umeenda cha maana na gharama unachomiliki ni simunani anataka kulogwa wewe? kaa peke yako ushalogwa wewe, Jina lenye ni sumba alafu wanga uanjua maana yake wewe?
aujui kwa nini pinda hayupoo uko ameishia kuishi Kongowe DSM? jiulize waziri mkuu kukimbia kwao, wewe Mwalimu wa NASARY unajitia kutuita ebu risiti paper upande grade walau uwe mwalimu wa msingi alafu nitafte nikufanyie mpango uame uko
NifahNitakuja kutembelea huko.
Kumbe kuna samaki (uvuvi)?
Can't wait...
Huko Sumbawanga leo ni jumamosi?Jana tu (ijumaa tar 16/2016) jirani yangu hapa kisiwani (Sumbawanga mjini) ameniambia anauza uwanja wake 80*80 1.5mil
Ntakuja lakini hadi nikaage kwetuTofauti na mikoa mingine huku maisha ni nafuu sana
Pia kuna fursa za aina tofauti hasa kilimo uvuvi na mifugo
Gharama za ujenzi ni nafuu.
Na hali ya hewa ni nzuri kupindukia
Nafikiri kustaafia Sumbawanga
Kuanzia Laela,Mpui,Tamasenga mpaka Luiche kila kitu ni kinono hasa kwa sisi tupendao chicha la asili.
Karibu mjionee hakuna taabu ya foleni,maji kelele wala uchafuzi wa mazingira.
Halafu tunapakana na nchi mbili Congo na Zambia
Kama kichwa yako haina mchanga mchanga na inawaza mema hii ndio sehemu ya kukimbilia.
Haiwezekani atoke binti Kenya anunue ardhi na kuwekeza na wewe umekaa hapo Dar unawaza mambo ya Dushe na papuchi.
Anatumia hati ya Ardhi yake kukopa ma bilioni
kijana amka hapo.
![]()
Hakuna foleni
njoo huku.
![]()
Ukichelewa shauri zako.
![]()
Plot utapata kwa sh laki tatu..
Sasa unafanya nini huko mjini?
Majuto ni mjukuuu