Nimeiona huko mtaani hii imetokea

Nimeiona huko mtaani hii imetokea

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,349
1633953058835.png
 
Hii ndo bongo na nina uwakika hawatatoka pembezoni mwa barabara
TARURA, HALIMASHAURI na TANROAD, wote wameweka mabango yao, wanasubilia tu , kwanza operation, hiyo kubwa ifanyike ya kuwaondoa, ili pabakie wazi sasa atakae rudi ni kwa kibuli chake hivyo kitakacho mkuta ni juu yake!!unafikiria kweli wakishawatoa kwa mala ya kwanza, hawaweza kukaa na kujiachia kama sasa, kwani mtu anajua wakati wowote tu kinawaka, na wenye mabanda, hawataweza tena kuwa wana laza bidhaa zao humo tena, kwani ukikuta limevunjwa usiku huna wa kumuuliza!!
 
Naona zinga la kabati la njano hapo. Nadhani Hilo ndio ilizi ya kutotimuliwa hapo Mahala.
 
hio ni attitude Mmachinga anaonyesha makusudi kuwa yuko tayari kwa lolote, kwa kweli wengi wao wanaona hawana cha kupoteza ndio maana yuko tayari kwa lolote
 
Back
Top Bottom