Nimeingia 2018 nikiwa bado nina Majonzi haya ya 2017

toto zuli

JF-Expert Member
Aug 20, 2012
265
278
Awali ya yote napenda niwatakie heri ya mwaka mpya wapedwa wote na wana jf wote .

Kwa kweli ndugu zangu nimeingia mwaka 2018 nikiwa na majonzi ya baba yangu mzazi ambaye kwa sasa amekimbia familia yetu na kwenda kuishi na mwanamke na kumuacha mama na wadogo zangu tukiwa na majonzi sana.

Kiukweli hii hali hatukuizoea na miaka yote tulikuwa kila mwaka tunasherekea pamoja sasa hivi hayupo tena nyumbani anaishi sehemu nyingine.

Kilichotokea ni kwamba baada ya kustaafu kazi akiwa ni mmoja wa wafanyakazi wa kiwanda flani cha saruji hapa mjini kipindi cha december kilichotokea ni kwamba baada ya kupokea mafao yake baada ya siku mbili alikimbia familia yetu na kwenda kuishi na kuanzisha maisha na mwanamke mwingine baada kupata pesa zake za NSSF .

kiukweli hili jambo linaniuma sana mpka limenifanya nimchukie sana baba yangu na kumlaani uko alipo .
Nakumbuka kabla ya kustaafu aliwahi kutuita watoto wake na kutuuliza kila mmoja aseme ni kitu gani anachokitaka kila mtu akazungumza ya kwake.

Lakini kilichokuja kutokea ni mzee kuikimbia familia na kuanzisha maisha mengine kiukweli hadi sasa napitia magumu sana.

Naombeni ushauli kipindi hiki roho inaniuma sana nimeingia mwaka mpya lakini bado nina majonzi ya mwaka jana
 
Poleni sana. Siwezi kuyakataa maumivu yenu ila ninaelewa machungu ya kuondokewa na mtu anayetegemewa. Ila jiulize je angekuwa anawathamini angeondoka? Muombe Mungu sana awaondolee uchungu moyoni na kumbuka kuwa kadri siku zinavyoenda uchungu huo utapungua. Maisha ni lazima yaendelee, hakuna namna.
 
Hawa wazee wa siku hizi ni ovyoo sana kuna mambo wanayafanya hadi inatia kinyaaaa .

Kuna mzee mmoja aliwahi kukopa milioni 100 toka benki ya CRDB BANK lakini familia haijui chochote ila walikuja kushitukiza wakipewa notisi za kuondoka baada ya mzee kushidwa kulipa deni .

Ila kiukweli wazee wengi wa siku hizi akili zao ziko ovyoo
 
Baba ni Baba mdogo wangu
Muombee mungu amfanyie wepesi arejeshe mapenzi kwa wanawe(nyie)
Wala usithubutu kumlaani wala usijaribu kumkashifu
Huyo ni baba na ataendelea kuwa baba
Na bila baba maisha yapo na wewe ipo siku mungu atakujaalia utaitwa baba
 
Awali ya yote napenda niwatakie heri ya mwaka mpya wapedwa wote na wana jf wote .

Kwa kweli ndugu zangu nimeingia mwaka 2018 nikiwa na majonzi ya baba yangu mzazi ambaye kwa sasa amekimbia familia yetu na kwenda kuishi na mwanamke na kumuacha mama na wadogo zangu tukiwa na majonzi sana.

Kiukweli hii hali hatukuizoea na miaka yote tulikuwa kila mwaka tunasherekea pamoja sasa hivi hayupo tena nyumbani anaishi sehemu nyingine.

Kilichotokea ni kwamba baada ya kustaafu kazi akiwa ni mmoja wa wafanyakazi wa kiwanda flani cha saruji hapa mjini kipindi cha december kilichotokea ni kwamba baada ya kupokea mafao yake baada ya siku mbili alikimbia familia yetu na kwenda kuishi na kuanzisha maisha na mwanamke mwingine baada kupata pesa zake za NSSF .

kiukweli hili jambo linaniuma sana mpka limenifanya nimchukie sana baba yangu na kumlaani uko alipo .
Nakumbuka kabla ya kustaafu aliwahi kutuita watoto wake na kutuuliza kila mmoja aseme ni kitu gani anachokitaka kila mtu akazungumza ya kwake.

Lakini kilichokuja kutokea ni mzee kuikimbia familia na kuanzisha maisha mengine kiukweli hadi sasa napitia magumu sana.

Naombeni ushauli kipindi hiki roho inaniuma sana nimeingia mwaka mpya lakini bado nina majonzi ya mwaka jana


polesanaaaa sana binafsi najuaa shida zake maana mwisho wasiku haliikiwa tete hurudi alipotoka

jambo hili huwezasababisha maumivu ya familia maana mama akiwa amejitunza baba anatufi magonjwa yake .....swala ambalo watoto mchukue nafasiyamaombi sasa....

kabla ya kuumia moyoo. Fanya mapping ya familia unaweza ukawa anapambana na nguvu za ukoo

Mwishoo utakuta babake alishaachana na bibi ama angalia mshangazi nao wanamume bado angalia baba wadogo bado wanandoa roho hizi hufanya wengine kuogooa kuoa kabisa

So angalieni hili huku mkmwomba kama baba arudi tumieni kiroho zaidi kumrudisha....ili asirudi tena huko kwa nyumba ndogo

sikuwahikumjua babayangu mpaka form four nilipofaulu baadae nikaonaa wazee wakijakilamara mwisho wanaishia na maombi nakuondoka baadae mama akanionyesha babayako yule wakati.....

Baadaya mdanilianza kumwona yulr mzee nyumbani nami nikampokea kama babamzaziz

baadaya miaka mitatu aliitagari akapakia vitu vyake akaondoka....baadae nkawanajiuliza sana shida nn

nilipofanya mapping ya familia zote mbili haya ndio nilikutana nayo...nikajitahidi sana kumwomba Mungu yasinikute

uPANDE WA BABA
BIBI ALIKIMBIA KWA BABU NA KUHAMA MJI KABISA MPAKA ALIPOKUFA ALITOA WITO ASIRUDISHWE WALA KUKANYAGA MAMBA...

BAU VS BIBI WALIACHANA

UKIJAKWA UPANDE WA MAMA
BIBI ALIONDOKA KWA BABU MIAKA 25 ILIOPITA NAKUJAKUISHI NA MAMA..HALI HII IKANIFANYA NICHUBGUZE NDUGU ZA MAMA

MAMA MKUBWA NDOA IMEKUFA
MAMA WADOGO NDOA IMEKUFA
MJOMBA ALIESALIANAE NDOA IKAWA TETE MPAKA ANAKUFA....

HII AIKUZUIA KUPIGA WAJUKUU INAUMA SANA
NILIPOAA NDOA YA UPENDO NA FURAHA SIKUJUA NTAKAA MIEZI MITATU NIACHE KILA KILICHO CHANGU NA GARI NKAENDA ANZA MAISHA UPYAAAAAAAA

HALI HII IKAMFANYA KAKA AOGOPE SANA NDOA KILA AKIULIZWA ANAOA LINI ANAJIBU ANASUBIRI TOKA KWA MUNGU

2015 ALIAMUA KUOA HAPO NAMI NINGEKUWA NASHEREHEKEA MIAKA 10 YANDOA...2016 TUKIWA NA KIKAO CHA FAMILIA CHA KILA MWAKA SIKUHIO ILIKUWA NA SUPRISE NDUGU ALIJUA MKEWE TUKO NAE AKAPELEKA FURSO AKABEBA MZIGO AKADISSAPEAR JUMLA...MPAKA LEO HATA MISIBA ANAISHIA TOA PESA TU....

NI MAOMBI TU YATAKAYOFANYA BABA ARUDI NA HILI MJIANDAR KUPAMBANA NALO WATOTO MAMA AFUNGE NA KUSALI
 
HUYU MZEE NI LAZIMA ATAKUWA ANATOKEA JAMII FLANI YA WATU KABILA FLANI IVI.

MAANA HIZI JAMIII HUWA ZINASIFIKA KWA SIFA MBAYA UNAKUTA BABA ANAINYANYASA FAMILIA YAKE PAMOJA NA MKE LAKINI ANAPIGA WATOTO NA ANAPIGA MPKA MKEE.
 
Poleni sana. Siwezi kuyakataa maumivu yenu ila ninaelewa machungu ya kuondokewa na mtu anayetegemewa. Ila jiulize je angekuwa anawathamini angeondoka? Muombe Mungu sana awaondolee uchungu moyoni na kumbuka kuwa kadri siku zinavyoenda uchungu huo utapungua. Maisha ni lazima yaendelee, hakuna namna.
Asante sana kwa ushauli
 
polesanaaaa sana binafsi najuaa shida zake maana mwisho wasiku haliikiwa tete hurudi alipotoka

jambo hili huwezasababisha maumivu ya familia maana mama akiwa amejitunza baba anatufi magonjwa yake .....swala ambalo watoto mchukue nafasiyamaombi sasa....

kabla ya kuumia moyoo. Fanya mapping ya familia unaweza ukawa anapambana na nguvu za ukoo

Mwishoo utakuta babake alishaachana na bibi ama angalia mshangazi nao wanamume bado angalia baba wadogo bado wanandoa roho hizi hufanya wengine kuogooa kuoa kabisa

So angalieni hili huku mkmwomba kama baba arudi tumieni kiroho zaidi kumrudisha....ili asirudi tena huko kwa nyumba ndogo
Pili nashukuru kwa maneno uliyoweza kunipatiaaa
 
Poleni sana. Siwezi kuyakataa maumivu yenu ila ninaelewa machungu ya kuondokewa na mtu anayetegemewa. Ila jiulize je angekuwa anawathamini angeondoka? Muombe Mungu sana awaondolee uchungu moyoni na kumbuka kuwa kadri siku zinavyoenda uchungu huo utapungua. Maisha ni lazima yaendelee, hakuna namna.
Yamekukuta nini haya ila umetoa ushauli mzuli tuu
 
1992,baba alitutelekeza tukiwa watatu,pamoja mama,hakuwahi kurudi mpaka leo ni miaka26,tumekua kwa nguvu ya mama ,tumeoa,tumejukuu,ila yupo arusha tu hapo,sisi morogoro,miaka michache iliyopita ameanza kututafuta,maisha yampiga hasa kufikia kuzuiwa kutoka hospitali kwa kushindwa kulipa bili,alikuwa mfanyakazi katika benki fulani,
Si tumemkaushia tu,hata akifa hatutalia,wala kuhudhuria mazishi yake,na hata sisi tukifa.
MUmuombe mungu amrudishe kwenye mstari,ikishindikana basi.

Pambaneni na hali yenu!
Mungu awape nguvu!
 
Hii kwa kweli inaumiza, lakini imetokea na nyie sio wa kwanza kupatwa na ujinga huu.
La kufanya, kama nyie ni waumini basi sali sana, weka na ibada maalum toeni na sadaka kuombea hili na funga lisitokee tena katika ukoo wenu.
Ama pambaneni kuimarisha life, muache azunguke hukoo pesa iishe atakunja mkia arudi kuomba msamaha.
 
Piga kazi upate mshiko wa kukuwezesha kupata mahitaji na baadae kuanzisha biashara itakayokuingizia kipato.
 
usijal zikiisha atakuja hpo ni Tanga eeeh kapata mdada wa kumpeti
 
usijal zikiisha atakuja hpo ni Tanga eeeh kapata mdada wa kumpeti
 
Back
Top Bottom