Nimeikuta sehemu

Tutakuja kuishi kwako angalau mwezi mmoja
 
 
Nashangaa Mkuu watu aanavyoogopa wenzi wao wawe na access na simu zao.
 
Mtu wa hivyo hana analolificha, wewe kama mtu mzima unaelewa fika kuwa kuna yanayoendelea ndio maana mtu anafanya hivyo, huko kutaka kuprove ndio kujitaftia sonona.

Binafsi mwanamke wangu akishakuwa na dalili hizo za kuzima/kuflight simu huwa naona hapa sio kwa kuwekeza tena upendo, nakaa kijanja ila sitomkagua.

Sijaoa
 
Ndio. Kwanini asishike simu yangu? Naficha nini?
Binafsi sina siri ktk mapenzi.
Simu yangu akitaka ashinde nayo, aondoke nayo atajijua mwenyewe.
Kwa nionavyo mimi, nadhani ile hali ya kuhusisha zaidi simu kama vile ni moja ya sehemu muhimu zaidi ya mapenzi ndiko ambako shida za simu kwenye mapenzi zinakoanzia.

Kiukweli, mapenzi matamu zaidi huwa yanakuja baada ya wapenzi husika kuweza kufanyiana vitu hadi wote wawili wakaweza kasahau kama wanamiliki simu.

Ova
 

TCRA wametangaza post...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…