Technologiest
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,712
- 4,026
@cute b weeehHebu acheni kuchukua namba mnatutia hasara.
Mimi hapa simu yangu nzima kabisa , ghafla inakufa, kodi nimelipa ya mwaka ghafla inaisha, wazazi wanaugua ghafla.
Acheni kututia mikosi![]()





