Nimeikuta Mahali

Nimeikuta Mahali

"*Kitendo cha kuchukua tu namba ya simu ya demu wa Dar, tayari nywele zake zinafumuka muda huo huo, njaa inamuuma dakika hiyo hiyo, simu yake inaharibika siku hiyo hiyo, siku yake ya kuzaliwa inafika saa hiyo hiyo, mama yake anaumwa ghafla hapo hapo, na kodi yao ya nyumba inaisha dakika hiyo hiyo*. 🤣😆😜
cha msingi tukutane lodge nimpatie hizo pesa.
 
Nilipitia relations za kuchunwa hadi nikazoea, badae nikampata ambae haombi hela eti anajidai kunipenda nikamwambia peleka huko ufilipino.

Ukweli wanaume tumezoea kupigwa mizinga hadi inafika muda nisipoombwa hela nakuwa sijiskii yaani hata sivimbi.
Kumbe? Basi kuna mtu huwa simwombi hela ameshaanza kunidharau. Itabidi nianze.
 
Ume acknowledge kwa Maulidi Kitenge hii thread maana ume i copy kule TWITTER. Ni idea ya Kitenge
avoidi Plagiarism
 
Haaahaaaa na nyie mkipewa namba muda huo huo unaleta Uzi jf, muda huo huo unawaza ukamgegede, muda huo huo unahofia kupigwa mizinga, muda huo huo..... .........
Hivi ukishakula kwa jirani, unatakiwa kukaa kwa muda gani kabla ya kuaga ?
 
Back
Top Bottom