Mkoani njaa kali,,, mzunguko wa pesa mdogo,,,,plus ujanja ujanja /sayansi ya kale/uchawi !!!!! Dsm ukiishi kwa akili ni rahisi kutoboa kuliko mkoani ,, ! Akili kichwani mwako, kila mtu ana namna anataka kuyaweka maisha yake kulingana na standards alizojiwekea ! Dar kuna kero zake pia mfano joto, foleni n.k