Sina matisho juu yako.Jamaa nimeona amebeba na jambia.Sijajua kama analitumia kama mkongojo au kuna kitu anataka kukikata shingo.Shingoniiii...fyaaaaa!Head chini!Usinitishe narudia tena usinitishe
Inamaana amegongwa 😂😂😂Mwambie akurudishie hata buku mbili.. Wenzio bodaboda wanazichakata kwa tripu za bukubuku, wauza genge kwa vipande vya nazi na nyanya za mchuzi, wauza nyama kwa kuzidisha robo ya robo na msosi watapelekewa, wauza chipsi ndio kabisaaa, kwa chipsi yai moja tu au mishikaki miwili, wauza mkaa kwa kuzidisha kipimo wanakula mzigo.
Safi, ila natumai ulihakikisha hupati michubuko tu. Ndom haina ladha kabisa yaani. Ni upuuzi tu. Hope pia ulikojoa nje!Ndoksi ningeipata wapi asubuhi yote ile mkuu, nyama kwa nyama
Ndiyo maana kutawala nchi lawama kibao kila kukicha.Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.
Rudishia mlango wa kiwanda mkuu "urare mberembere"!Jamaa alikuwa anaongea huku anabugia kloriti impe morali.Hahahahahaaa!Usinitishe usinitishe mkuu
Ashukuriwe sana aliyeanzisha hivyo vikoba kusema kweli ameupiga mwingi,
Kabisa!Kinga ni utelezi tu mkuu, vingine ni mbwembwe
Na wewe utapokea pesa au marudio?Sijagongwa mi nimekopwa kaniambia atanilipa mkuu
Ondoka nazo kwenye mfuko wa "Rambo"!Zitakusaidia maisha ya utoro njiani.Rara mbere!Ooohooo!Bro broo alafu nyama utakuja kuzila wewe
Tumefanana visa, mie mwenzio kwa 3k tu ya VICOBA, ni mwezi wa tatu unaelekea sasa bado najipigia tu tena kavu. Mtoto tako tako!! Aiseee...Daa kumbe kanipiga mkuu, ila alisema kakopa atarudisha mkuu