Nimeichakata Asubuhi hii kisa buku tano ya kwenye vicoba

Aisee kama zari alfajiri hii kumi na moja ya leo kushituka napokea sms ya kuombwa buku tano na manzi flani hivi ya mtu, mtoto mashalah kama pisi ya willium kiasi kwamba nilikuwa nahofia sana kumtongoza kwa ule muonekano wake na jinsi alivyojazia,(tunakaa mtaa mmoja)

Sasa leo si Ndio kanitext anaomba nimback up buku tano amekwama anataka kuongezea kupeleka kwenye marejesho yao vikoba saa mbili,
"naomba tena naomba sana ata kama kunikopea sawa nitakurejeshea, nimekwama sana ndugu pliz" hii ilikuwa meseji yake ya kukazia kwa kile alichokuwa akiomba,

Zero bila iyana nikamjibu tu sawa ila niko na cash tu kwa simu sina hela alafu mawakala wanachelewa kufungua sasa sijui tunafanyaje kama unaweza uje kuchukua hapa kwangu muda huu kabla ya saa moja,
Kwa maana nina ratiba za kwenda mjini kuchukua viazi, nyama na tray za mayai "kwa ajiri ya pale kiwandani kwangu"

Alinijibu tu ok"nikajua labda amepotezea ",
ila mida kama ya saa kumi na mbili hivi saa moja kasoro napokea text amekaribia nitoke ili nimpatie hiyo hela nikamjibu sawa,

Alivyofika tu, nikamkaribisha ndani na kumtania aje ata atie baraka tu tunywe na chai maana nilishapika ninywe ili niende maangaikoni,

Mtoto akajichekesha chekesha mwisho akazama ndani.

Kama utani akafikia kitandani wandugu, "gheto sina kochi"

Nikatoa buku tano nikampa kwa mkono then nikakisi kiganja chake ndio ikawa kama nimemroga,
Nikamuona tu anatabasamu nikazuga kama nataka nimbusu shavuni akanisogezea mie huyu nikauturn mdomoni si akapokea ndio mchezo ukaanzia hapo.

Nikajichakatia zangu kadhaa kwa ustadi kabisa, mwisho nikamwambia sorry kama nilikuwa nimefanya kosa,,
Akaishia kujichekesha tu mwisho akasema usijari mimi mwenyewe nimeinjoi sema tu nina ratiba zingine na wewe pia,
Tafuta muda na siku nzuri ya kuinjoi zaidi mi na wewe, akanibusu huyo akafungua mlango na kutoka.

Sikuamini kwa kweli kama nimemenya pisi niliyoikubari kirahisi hivyo aisee.

Ashukuriwe sana aliyeanzisha hivyo vikoba kusema kweli ameupiga mwingi,

Ameupiga mwingi sio utani.

Cc Zero IQ.
Jina lako linakuwakilisha Vizuri (Zero IQ)
kwani kwa mtu mwenye IQ angekuwa anajilaumu kwa kufanya hivyo tena bila hata kinga. Subiri miezi tatu ukapime utuletee mrejesho kama upo salama
 
Jina lako linakuwakilisha Vizuri (Zero IQ)
kwani kwa mtu mwenye IQ angekuwa anajilaumu kwa kufanya hivyo tena bila hata kinga. Subiri miezi tatu ukapime utuletee mrejesho kama upo salama
Mpaka sasa niko salama mkuu
 
Hujamuelewa. Anamaanisha VVU huchomoza baada ya miezi mitatu kuambukizwa. Kama hujaelewa na hapo chemsha ilo boga lililopo juu katkat ya mabega yako.
Kwa hiyo anataka mi nifanayaje kama vimeshaingia?
 
Kwa kanuni na sheria elfu 5 hairudi na kwa uzoefu huo ndo mchezo wake kwa wengine ndo maana alikupa bila shida kwa kuwa ametumia uchumi wake vizuri na ujiandae kulipa mpaka mkopo uishe na ukiweweseka anapewa mwingine.Ila usisahau tupo nae kliniki fulani.Ila usidanganyike huwa haikomolewi
Mbona wivu tena mkuu kaogee chumvi una kimavi. Waache watu na bahati zao.
 
Wake zetu wanaliwa mida ambayo hata huwezi ifikiria yaani ndani ya dk 20 tu watu wamemaliza kipindi mkeo anarudi nyumbani kwako hata huwezi situkia unajua alienda dukani au yupo nje anafanya usafi. Siku hizi wanawake kuvua chupi ni kama vile kusalimiana tu
Lazima tuwale, hakuna namna
 
Back
Top Bottom