mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Muwekee huko unakomdirect hapa, au ni siri!?Jamani Mimi sio mganga! Nataka nimdirect sehemu,na uzuri atalipa baada ya kufanikiwa akichuna yatakayomkuta tusitafutane humu.
😆😆😆😆
Muwekee huko unakomdirect hapa, au ni siri!?Jamani Mimi sio mganga! Nataka nimdirect sehemu,na uzuri atalipa baada ya kufanikiwa akichuna yatakayomkuta tusitafutane humu.
Daah pole mwamba usipanik nenda karipot mamlak husik watajua cha kukusaidiaHabari wana jamvi,
Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi.
Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.
Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.
Nawasilisha
Woi!Au awaoteshe vijipu mwili mzima...
Mpaka kwenye viganja vya mkono washindwe kula..
Inaweza ikawa mbaya zaidi ukasimikiwa hata madawa ya kulevya chief.Hii kitu ina ukwel , nikiwa Mwanza Mzee nilikuwa na gheto boss , siku moja nikaopoa manzi , nikamwingiza gheto mara ya Kwanza , nikarudia tena mara ya pili daah..... ma- Mae baada ya sku mbili Mzee nikachapwa deki , ....
Mwamba kuona hvyo nikaona isiwe tabu, nikahamisha kila kitu nikabakiza kitanda Tu , niliahrisha na kununua vitu vingine mpak nilipopata nyumba ya kueleweka a.k.a Geti Kali kuna mbwa mkali..... Nahs Yule manzi aliwaelekeza wajuba aisee
Imeongezeka Rau siku hizi, saa 12 jioni mtu analizwaMoshi kuna sehemu si rafiki sana kwa kuishi hasa maeneo haya:
-Pasua
-Njoro
-Kalimani
-Chekereni
-Mabogini
Kwel aisee , juzi kati kuna dem kamtapeli dogo tv Ya flat nchi 32 , nimeamin hawa madem Wa Sasa hivi hawaaminikiMademu skuizi ndo wezi
Huwa nawatamaani sana hawa Jamaa , ukiwaibia hawakuachi salama, usipokua chizi bahati yakoWapemba wao hua hawaibiwi?
😂Ni kosa kuweka contact zake nimemcheki huyo Mzee hajapokea akikubali nitaweka.Nimekuelewa unachomanisha.Muwekee huko unakomdirect hapa, au ni siri!?
😆😆😆😆
Sina demu mkuu nina mkeWezi wapo ila hii habari ya watu kubeba hadi vijiko huwa inatokea maeneo flani flani sasa kama mji wa kijanja kama Moshi una mambo hayo sijui.Au kuna demu wako kaamu kubeba vitu ahame navyo maana hali ni tete.
Hatutafutani. Ni ukweli. Hakuna mganga wa kurudisha vilivyoibiwa.Jamani Mimi sio mganga! Nataka nimdirect sehemu,na uzuri atalipa baada ya kufanikiwa akichuna yatakayomkuta tusitafutane humu.
Habari wana jamvi,
Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi.
Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.
Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.
Nawasilisha
Kuhusu namba ya king'amuzi simple sana wapigie kampuni ya hicho king'amuzi utawatajia namba ya simu uliyo sajilia king'amuzi watakupa namba ya king'amuzi chakotatizo no ya kingamuzi siijui
Waganga wa siku hizi matapeli tu kuna kipindi niliibiwa nikashauriwa nilete mtaalamu alichimbia kuku weusi kila kona ya uwanja na katikati ya uwanja hadi leo majizi yanaishi nilikuja kuwakamata kwa mfumo mwingine kabisa.Waganga uwa mna wapata wapi. Maana nawatafta ila siwaoni
Mkuu Dunia hii iache Kama ilivyo.Niishie hapo ila iko siku utayaona.Hatutafutani. Ni ukweli. Hakuna mganga wa kurudisha vilivyoibiwa.
Kuna mmoja huwa anasema hiyo ni kazi ndogo tu! Tunamfunga mkojo kwa wiki 1 tutaona ataenda kukojolea wapi!!!Pole sana Mkuu
Piga maombi Mungu atazungumza nao tuu... au kama vipi tafuta mtaalamu haswa awaguse kidogo tuu yatembee barabarani yakijikojolea.
Au yakilala yakose usingizi kazi iwe ni kujikuna hadi asubuhi.