Bors wewe umepewa siku hizo. Mimi CRDB walishanifanyia huo umafia wkt nilikuwa na ukata mbaya sana. Winiibia kama miliobi mbili hivi, na rekodi zao zilionyesha kwamba ni kadi yangu ndiyo ilitumika wakt wanasema hivyo transaction ya kwanza ilirekodiwa mm nikiwa angani kwenda SA, na nilipokuwa SA nilifanya Visa payment moja na withdrawal moja wao wakarekodi withdrawal s 4. Ku challenge ile rekodi yao wakasema hiyo ni Visa siyo wao na hii nyingine ni mimi so wao hawawajibiki. Wkt nafuatilia nilikutana na jamaa naye walimpiga 8m kwa njia hiyo hiyo. Toka siku hiyo CRDB nawasikia tu aisee! Pole sana